Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna tatizo kubwa sana linanisumbua juu ya mwanangu shuleni. Yupo class one na ni shule nzuri tu tena English medium.Tatizo ni kwamba mwandiko wake ni mbaya kupitiliza, sasa nashindwa kuelewa...
0 Reactions
9 Replies
38K Views
jamani naombeni mnielekeze kisarika secondary ilipo nataka nimpeleke dogo kachaguliwa huko. Halaf ningependa kujua hiyo shule ina mabweni au la.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Niliomba Nafasi Ya Masomo Ya Stashahada Ya Elimu Ya Msingi Mimi Ni Mwalimu,jina Langu Limetoka Nimepata Nafasi,tatizo Langu Ni Halmashauri (.,..) Walitoa Majina Ya Walioruhusiwa Kwenda Kusoma...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
WanaJF naomba tujadili hili suala la sisi watu wa arts kuchagua education kwa wingi! Je ni kwamba kozi nyingine za arts hazina ajira kabisa, au ni kuogopa changamoto za maisha, kuogopa koz...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Habarini wakuu, Yeyote mwenye uzoefu juu ya hili naomba anijulishe, kwamaana najua kuna watu wengi humu wamesoma elimu ya chuo. Vipi kuna uwezekano wa kulipa gharama za chuo(diploma in...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
For recent graduates of law schools or graduate programs in journalism, international relations, area studies, or other relevant disciplines from universities worldwide. Unrestricted Fellowships...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
  • Closed
we cheki kwanza usiulize maswali
0 Reactions
10 Replies
38K Views
ume register chuo,ukakubaliwa,umesoma semister nzima,umefanya u.e,matokeo yametoka umefaulu,then unaambiwa umedisco sababu hujalipa ada?isitoshe ni chuo cha serikali(sua). wenye uelewa juu ya...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Jamani hii course hapo IRDP ya HUMAN RESOURCE IN PLANNING AND MANAGEMENT ANAWEZA KUPATA MKOPO????na je kozi gani anaweza akapata mkopo mbali.na education na ualimu????
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naombeni msaada wakuu jinsi ya kupata biology books kwa a level na ku download naombeni sana wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Halo vipi? unaweza kujaribu hili swali? "Explain withvivid example the features which differentiate community development from other discipline of development" .
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Inawezekana kwa mtu aliyemaliza diploma ya WATER LABORATORY pale chuo cha maji kusomea degree ya MEDICAL LABORATORY?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Shalom makamanda! Mbali ya kuwa na changamoto za ukosefu wa ajira na kushuhudia wimbi la vijana wakizunguka na bahasha mitaani, Lakini hali ni tofauti hasa kwa vijana waliomaliza vyuo vya...
2 Reactions
91 Replies
9K Views
O-LEVEL RESULTS(2011); Civ-C Hist-D Geo-C Kisw-C Eng-B Phys-C Chem-C Bios-B Maths-D A-LEVEL RESULTS(2014); Hist-C Geo-B Eco-C GS-C BAM-D
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekuta habari hizi ukurasa wa facebook wa NACTE. Hii inawahusu waliomaliza DIPLOMA MWAKA HUU 2014, na wanahitaji kuendelea na masomo (kuendelea na degree mwaka wa masomo 2014-15), matokeo yao...
0 Reactions
6 Replies
23K Views
Jamaan samahani ni kweli tcu wameongeza muda mpaka tarehe 06/09/2014??? Je ni kweli au ni taarifa za uwongo??
0 Reactions
31 Replies
6K Views
List of awarded contracts for the year ended june 30, 2014
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza jinsi ya kuedit majina kwenye cheti changu maana nahitaji kutuma copy za vyeti kusudi langu ni nakala hizo kufanana majina tu.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari. Mwenzenu niko kwenye hali ya kukata tamaa na kukosa matumaini kabisa ya maisha. Nimemaliza form four miaka kadhaa imepita sikufanya vizuri, nimereseat mara tatu hii mara ya tatu ni mwaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Unaweza tembelea tovuti ya udom kwa habari zaidi
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…