Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani tuelezane chochote unachojua jamaa tuambizane mambo muhimu kuhusu hostels, je zipo na ada na je kunachochote tutatakiwa kwenda nacho siku ya kufungua chuo mimi niliulza lakini wakasema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Please naomba msaada wenu. Nataka kuchukua form Jomo Kenyata University Arusha branch for post graduate project management course. Naomba mwenye kujua chochote before sijatake hiyo hatua wiki...
0 Reactions
34 Replies
10K Views
kwa ambao wanaomba diploma sponsor unaomba au unapata tu ukishachaguliwa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni facult gani za sayansi nzuri kusoma chuo, kwa mtu wa CBG na PCB ambazo ajira ake ni rahisi kupata na zina mshahara mzuri???? Naombeni rafiki zangu mnisaidie kabla ya tareh 29 ili applctn tujue...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Mimi nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 na kufaulu kama ifatavyo; 1.Biology....C 2.Chemistry....B 3.Physics.....D 4.Mathematics.......D 5.Geography......D 6.English.......C...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu, Ninayofuraha kukutangazia kua kampala international university tawi la dar es salaam watatoa mkopo mpaka asilimia 50 kwa coz za miaka mitatu na 40% kwa coz za miaka minne mpaka tano kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu. Nina ndugu yangu alimaliza form6 miaka ya nyuma kwa bahati mbaya alipata principle pass moja akakata tamaa akaamua kuapply diploma chuo kimoja kamaliza mwaka huu ila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu... Jamani nina GPA ya 3.4 je,natafta sponsorship ya kusoma masters. je kwa GPA yangu hii nitapata sponsorship kirahisi?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Toka mwezi wa nne tangazo lilipotoka mpaka hii leo hakuna majina yoyote ya wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya uliamu, hivi serikali kupitia wizara inafanya nini!? Yaani mipango inabadilika kila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za usiku wakuu? Naomba kufahamu kama hapa Tanzania kuna vyuo vinavyotoa mafunzo ya madawa ya asili. binafsi nimesomea mambo ya madawa ya hosptalini na kwenye familia yetu wote wamesomea...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sijui huu ni uvivu wa kufikiri au ni kitu gani! wadau wa elimu. Hii imetokea huku kwetu(nyanda za juu kusini-ruvuma), mwanafunzi wa kidato cha nne, aliamua kuandika matusi na baadhi ya mistari ya...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi siku ya leo haipo hewani, ni kweli kwamba inapakia post za ualimu au maneno tu! mwenye ukweli atujuze
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Tafadhali kwa mwenye uelewa juu ya hili aniandikie kiasi cha ada kwenye chuo husika kwa hapaTz. Nahitaj kufanya masters bt Kufanikisha hil kwangu uchumi ni kikwazo plz..!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumekwama kwenye foleni kubwa muda huu baada ya wanachuo kugoma na kulala barabarani, njia ya kwenda mikoani Singida, Tabora n.k Madai 1.Elimu isiyokidhi viwango 2.Elimu bila mitaala 3.Wanadai...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nina siku ya tatu nahitaji kuomba mkopo wa diploma in education ya miaka mitatu ya UDOM lakini link yake ya olas haifunguki. mwenye taarifa au msaada wadau.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau Naomba Yeyote Yule Mwenye Namba Ya Mwalimu Yeyote Yule Anaefundisha Kibaha Boys Anisaidie. Asanteni.....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
What is the difference between bachelor of electrical engineering and bachelor of science in electrical engineering?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Mimi nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 na kupata Division Three na ufaulu wangu ulikua hivi; 1.Bioligy...C 2.Chemistry..B 3.Physics...D 4.Mathematics....D 5.Geography....D...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa waheshimiwa Dr. Shukuru Kawambwa Hawa Ghasia Jenista Mhagama Agrey Mwandry Kasim Majaliwa YAH . KUMLALAMIKIA AFISA ELIMU WA SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA MOSHI KWA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Poleni na majukumu ya kila siku..... naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kusoma MA wakati ni tofauti na degree ya kwanza niliyosomea?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…