Salaam kwenu waungwana
Nina mdogo wangu anasoma hapo UDOM, Ila cha kushangaza dogo analalama hadi sasa bado hawajapewa hela ya kujikimu huko mafunzoni, kuna tatizo gani kwa nchi yetu...
Wapendwa mm ni mwalimu nilie pangiwa ajira mwaka jana, lakini sikuripoti kwasababu nilipata shule ya private na mpaka sasa nafundisha private school! Sasa kutokana na mambo ninayo kumbana nayo...
Tafadhali kwa yeyote mwenye material ya somo la life skills naomba aniPM jamani, naomba msaada tafadhali na Mungu wa mbinguni atawabariki wapendwa wangu.
+255753173104,+255685761742,0715590538,+255766783601 kama hayo manamba nayo yanamilikiwa na matapeli. Tazama majina yao unaweza kutana nayo sehemu yoyote ya utapeli. Mojawapo ni Honest Mgona lipo...
Wakuu mimi nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na kupata dalaja la pili point 20, na kachaguliwa kwenda A level sasa anamwenzake amechaguliwa chuo apo DIT anasema uyomwenzake awezi...
Jamani mimi binafsi sielewi nini hasa kigezo kinachotumika kuchagua wanafunzi wa kozi ya kilimo kwann nasema hivyo'
Kujiunga na Diploma ya kilimo:
Sifa:Uwe umefaulu masomo ya sayansi kwa alama D...
Salamu sana.
Ni binti yangu. Amemaliza fom six. Kwa sasa yuko JKT kwa mujibu wa sheria.
Amesema anataka kuingia uhamiaji. Ufaulu wake ni 1.7. Alisoma HGL. Bado hatujawasilisha fom za kujiunga...
Socrates (469 – 399 B.C.)believed in two types of knowledge: important and small. He acknowledged that most of us know many trivial things. For example, a craftsman practices of his...
Kwa watu wa diploma GPA zina pangwaje? yani pass inanzia wapi, je secondclass, je uppersecond, firt class je,.....
mfano degree ni 2.0 - 2.6,pass
27-34 lower second, 35....
naombie mnijuze?...
Kwa aliye pata credit mbili katka masomo ya combination mfano histor D, kisw B,na english language C,{HKL} je kwa shule za private hawezi kusoma advance akiwa na daraja la nne alama 32?
Utakuta wazazi wengi wanajisifu kwa watoto wao,enzi zangu nilikuwa sikosi hesabu hata moja,hapo anamkokoteni au konda mlangoni,au mimi sikuwahi kupata ziro,je mzazi wa nani alikosa hesabu?!
Watanzanzania Wenzangu kwa anayefahamu kwa undani CHUO CHA OPERATING THEATRE MANAGEMENT SCHOOL MBEYA naomba anifahamishe! Nahitaji kujua location ya chuo na namna ya kufika.
nataka kumpeleka binti yangu shule mojawapo kati ya hizo, amefanya interview na kufaulu zote, sasa sijui kwa maoni yenu wanajamvi ipi nzuri kwa future yake?
The Government of the Czech Republic offers scholarships within the framework of its Foreign Development Assistance in support of the study of foreign nationals from developing countries at public...
Wandugu wana JF
nilikuwa napitia kitabu cha binti yangu anayesoma darasa la nne kwenye kishule flani jina nalihifadhi... nimevutiwa kuangalia kitabu hiki baada ya kumuuliza maswali rahisi lkn...