Kwanza mi nikiri kuwa GPA ni kipimo cha kisayansi juu ya uwezo wa mtu darasani (but not applicable in practical life) hapa namaanisha hakuna mahusiano ya moja kwa moja kati ya GPA kubwa na...
Wadau mi nilisha jaza form yangu ikaniandikia ready for submission.sasa jana naenda kuprint inaniandikia form incomplete kufungua inaoneasha guarantor form ipo incomplete but nkiicheki yote...
Naomba msaada wa mawazo yenu juu ya kufungua chuo cha mafunzo ya computer. Ninazo facilities kadhaa za kuanzia mafunzo ila nahitaji sana kupata usajili ili nitoe vyeti vitakavyotambuliwa na VETA...
mimi ni mtumishi katika wizara Y nimeajiriwa toka mwaka 2010 kwa level ya certificate in Computer Science(hyo ilikua km entry point il mkono uingie kinywani) wakati naajiriwa nilikuwa na Advanced...
napatikana dodoma nimemalza cha4 mwaka jana na nina div 3.. nataka nisome IT and JORNALISM now natafuta chuo kizur hapa tz... nifahamishen tafadhal WANA JF
Hi friends! Tatzo langu ni kuwa nina pc yangu na nataka nimsaidie mdogo'ngu kuapply chuo ila kila nkijaza zile faculty codes na kutick kweny option iliyopo inaniambia hv; WARNING!!,NO PROGRAMS...
Habari wanajukwaa,, nauliza hatua za kuhama shule kwa 'A' level kutoka shule moja kwenda nyingine hatua gani? Huwa zinafuatwa,, naomba mwenye uelewa anijulishe
Hivi application ya kujiunga Chuo ni Tar. NGAPI? Kwenye tangazo lao TCU NA NACTE la tar.8.4.2013 linaonesha ni tar. 31.07.2014 na kwenye guidebook ambayo ni ya mwaka 2014/2015 ni tar. 31/08/2014...
Mdogo wangu kachaguliwa kozi ya afya sasa kila niki confirm inakataa kumbe mpesa confirmation code yake aliikosea kuinakili. Nimejaribu kuwapigia mpesa wananiambia meseji watanitumia lakini leo...
Nimateso, udhalilishaji, uonevu, kukosa utu, kutokujari wasomi...sisi wanafunzi wa vyuo vikuu tunanyanyasika sana huku mtaani.Tunaishi kwa shida na taabu jaman mtuhurumie...niwiki ya 3 sasa...
habari wanajamvi hili!! jaman nilikuwa naomba mnisaidie kunijuza kwa anayefahamu.selection za uwalimu ngazi ya awali zinatoka lini? tafadhar jaman kwa anayefahamu anisaidie
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na...