Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani TCU Waongeze muda jamani kwa watu waliotoka diploma maana!!!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ok
0 Reactions
0 Replies
816 Views
ndugu zangu wanazuoni kutokana na hali tete ya kupata pesa za field na kwa ukimya wa marais wa vyuo vikuu pamoja na TAHLISO napenda kutoa wazo ya kuwa mwezi wa kumi tukifungua vyuo vyote...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu naombeni mnijulishe mwisho wa kutuma maomba ya kujiunga na vyuo kupitia tcu ni lini.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wana jf kiomboi habar zenu. Kwa wale wanaohitaji kurudia mitihani kwa O-level na wale school candidates waliopo kiomboi tafadhal tuwasiliane 0682919945.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanajamii naomba maelekezo jinsi ya kuomba HESLB kwa sifa ya form four 2013 diploma in education science (half comb) kama una uelewa maana nimejaribu imegoma kabisa. napewa sms hii ''The Index...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba km kuna mtu anafahamu chuo chochote cha labaratory anijuze.kuna mdogo wangu anataka kwenda.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shule nyingi za private kama sio zote zinachangisha michango ya majengo na madawati je hili ni sahihi? Maana ile ni shule ya mtu ambaye siku yoyote anaweza kubadilisha matumizi toka shule kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Naombeni kufahamu tofofauti ya BEng na BSc Eng. na ipi bora kuliko nyingine. Shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
HABARI WANA JF nimepata kusoma mtandaoni kwamba uchaguz wa wanafunzi kwenda kidato cha tano 2014 kwa AWAMU YA PILI YAMETOKA source(www.chatguest.com)
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wana jf, embu tusaidiane japo kwa ushauri juu ya hili, tangu mwaka jana JUST wamekuwa wakucharge hela ya ziada(faini) wanafunzi ati kwa kosa la kuchelewa kulipa ada, na mbaya zaidi wamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna midaharo mbali mbali inayoendelea, mojawapo ni hili la WAHITIMU wengi wa vyuo VIKUU kuwa hawaajiriki kutokana na elimu mbovu wanayoipata vyuoni, kwa hiyo inakuwa ni vigumu kupata ajira...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za jioni wana jamii forum, ... Nilisoma bicom-hrm, nafikiria kusoma masters or any short course itakayonisaidia kujiajiri, sio kwa ajili ya kumiliki tu masters certificate..Any advice kwa...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habari za jioni wana jamii forum, ... Nilisoma bicom-hrm, nafikiria kusoma masters or any short course irakayonisaidia kujiajiri, sio kwa ajili ya kumiliki tu masters certificate..Any advice kwa...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Najua mwisho wa undergraduates kukamilisha registration OUT ni August 31. Mimi mpaka sasa sijakamilisha kwa vile mtandao uko very complicated! Je naweza kutuma maombi manually na mavyeti yangu...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Hii ni wiki ya tatu tokea mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu yaanze, lakini fedha za mafunzo hayo ambayo loan board iliingia mkataba na hao wanafunzi hawajapatiwa! wanafunzi wapo...
0 Reactions
50 Replies
9K Views
Bofya hapa Mabadiliko ya shule kidato cha tano na orodha mpya waliochaguliwa kidato cha tano | Pmoralg Tanzania
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Wanaud polen sana na changamoto za maisha! Kama unashda yoyote kuhucu fld iweke hapa jf usaidiwe
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Mpaka sasa (inaelekewa wiki 4) kuna wanafunzi wa baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini hawajapata pesa yao ya field (mafunzo kwa vitendo) kutoka loan board kinyume kabisa na mkataba wao na bodi hiyo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom