Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Closed
MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWA Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka. Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa...
3 Reactions
143 Replies
38K Views
Naomba kufahamishwa kuhusu B.A IN ECONOMICS.. future yake and common courses to go through.
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Mimi ni graduate 2013 (BAED)niliapply Master of education in philosophy nje ya nchi S.Afrika,mwanzoni kwenye application nilitakiwa niattach certified copy of Passport ckuwa nayo,ila Mungu mkubwa...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
1Tanzania Commission for Universities Applications for Admission into Higher Education Institutions through the Central Admission System (CAS) for academic year 2014/2015 Tanzania Commission for...
1 Reactions
10 Replies
45K Views
wadau wa elimu za leo?? eti usahishaji mpya wa ACSEE principal inaanzia daraja lipi??
0 Reactions
21 Replies
14K Views
Nakumbuka Tambaza ni moja ya shule zilizokuwa zikiongoza kwa kufanya vizuri sana kwenye mitihani ya Necta. Lakini hili la kusikia Tambaza ikiwa ni miongoni mwa shule kuni zilizoshika mkia...
2 Reactions
0 Replies
826 Views
ushauri wakuu, nasoma udsm , master nimelipa ada 3/4 bado 1/4 nimezuliwa kufanya final exam na kulazimishwa kuandika barua ya kuomba special september, na cna matarajio ya kupata iyo robo till...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Zenu Wana JF Matokeo Ya BRN Ndo Yashatoka Sasa Nawapongeza Wote Waliotopoaa... Ni Hivi Kuna Dogo Langu Hapa Alikua Anasoma PCM amepata III-11 Na Kwenye Combination Kapata CBC..Sasa Wadau...
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Inamaana wote na wanaotoka vyuoni nao ni lazima waende? Na kama ikitokea mtu hajaenda itakuaje?
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Hii obLique photograph bila shaka, swali ni kwamba je ni high oblique au low oblique??? Anaejua tafadhali coz imeleta utata kidogo hapa nilipo! Natanguliza shukran Sent from my iPhone4 using...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
PCM nina CBC Je Niende Chuo Gani Na Kozi Gani Nzuri..Msaada Wenu Wana JF.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jeshi la kujenga taifa nchini (JKT) limetangaza majina ya waliohitimu mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka 2014 wanaotakiwa kujiunga na mafunzo ya jeshi hilo. Kwa taarifa zaidi, pamoja na kuona...
1 Reactions
0 Replies
21K Views
Its never too late kujifunza kupiga chombo cha mziki, nimeona watu wana play instruments zile emotions zinavoflow, nahisi ni njia moja wapo ya kujitoa stress na kurelax, au ile unamuimbia hata...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
nimechoka kupata pesa za majungu kutoka loan board coz pesa zenyewe haziji kwa wakati maisha yanakuwa magumu....baada ya kupima vyote sasa sitaki mkopo tena na nataka kujitoa....naomba mnisaidie...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
hivi punde tumeshuhudia matokeo ya mitihani ya kidato cha sita lakin cha kushangaza ndani ya shule kumi bora, shule za vipaji maalum hazionekani na zaidi ya hayo tumeshuhudia uwepo wa shule ya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nimepata alama kiswa b, history c, geog d, english d, civ e je? Ninaweza kusoma chuo gani kinachotoa certificate nina point 36 wamenambia ualimu siwezi pata nasoma nini hapa na itakayo nsaidia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu wana JF. mimi nauliza hivi wale waliosoma zile shule za vipaji maalumu. wamelitendea nini taifa la Tanzania? maana walifundiswa na walimu wazuri, mazingira mazuri yaani maktaba, maabara...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. A Printer 2. A Tablet 3. Expensive Bedding 4. An HDTV 5. An Iron and Ironing Board 6. Clothes 7. A High-End Laptop 8. A Mini Fridge 9. An External Hard Drive 10. Smartphone
0 Reactions
3 Replies
906 Views
utamlinganishaje form six wa mwaka huu na miaka iliyopita?maana nina mdogo wangu kapata B,D,D kwenye comb.kaandikiwa four...du!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wakuu nasikia ela ya field imetoka wakuu....kwa wale wanaopata boom la serikali mtukumbuke ambao hatuna jamani....je ni kweli limetoka.?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…