Wana JF salaam,
Kwa mda mrefu nimejaribu kutafuta chuo kinachotoa degree ya kwanza kwa njia ya mtandao lakini bil mafanikio,nilivyoweza kuvipata ni ghali sana na vyenye afadhali vinatoa masters...
wana jf mm nimemaliza kidato cha nne 2013 na nilikua niko mchepuo wa science.nilifaulu masomo mawili na moja nikapata D ila post zilivyotoka nimechaguliwa comb ya arts hgk..sasa cjui chochote...
Tuache utani...CWUR 2014 | Top 1000 Universities
Katika vyuo Kumi bora duniani hakuna chuo hata kimoja toka Africa, South America au Asia. Chuo cha kwanza toka Asia ni #13 Japan.
Katika vyuo...
Jamaan wadau kuna baadh ya shule za private wametangaza nafasi za fm 5 sifa unatakiwa uwe na d3 na kuendelea, naomba kufahamishwa kama ni kweli. shule hizo ni st pius, st thomas hata airwing
Matokeo ya form 6 yametoka nimepata DV 3.17 mchipuo wa HGK, naweza kusoma degree ya nini??
kama haiwezekani nisome diploma ya nini??? Naombeni Msaada wenu maana nimechanganyikiwa ndugu zangu
wakuu
Mojawapo ni ' form 6 leaver who attended one year certificate course which recognnized by NACTE'.
Nimeenda hapo chuoni ila nimeambiwa sina sifa za kujiunga degree,. Wakuu naomba...
kuna jitu lilikuwa lina itwa ibrahim halifa kwa mlio kuwa mnalifaham lili kuwa na itikadi kali ile mbaya,halikuwahi kuja shule,alikuwa ana kuja kunye siku za mitihani...
jamani naomba kujua mfumo wa madaraja yaliyotumika. Maana naona kila mmoja amefaulu mwaka huu. Masoma kama PCB (yaliyo kuwa magumu huko nyuma) naona almost all have passed. Hivi points...
Wale walioomba uhamisho mwezi Juni 2014, sasa mambo yapo hadharani.
Pitia tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu: http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/ajira/
Ufuatiliaji na Tathmini ya Mafunzo ya JKT kwa vijana wanaohitimu Kidato cha sita
Ikiwa ni takribani miaka 3 tangu kurudishwa kwa mafunzo ya JKT kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita, ni wakati...
Wadau naomba kwa anayefahamu chuo chochote kinachotoa masters ya project planning, monitoring and evaluation anisaidie, kiwe cha nchini au nje ya nchi sawa tu.
Na kama hicho chuo kinatoa...
hv kwa BRN hii diploma za afya watachukua kuanzia ngapi mfano aliyepata DDD anaweza kupata chuo cha diploma cha afya mfano lab technician na Co msaada jamani kwa mwenye ufumbuzi na kama vyuo vipo...
Wakuu,
Wanafunzi wanaosoma vyuo vya elimu ya juu nchini (University & University Colleges) wameanza mafunzo yao ya vitendo (Teaching Practice & Practical Training) tangu jumatatu ya tarehe...
Matokeo ya ualimu yametoka na yanapatikana kwenye tovuti rasmi ya baraza la mitihani (NECTA). Tembelea link zifatazo kuyaona.
GATCE
http://www.necta.go.tz/matokeo2014/GATCE.htm
DSEE...
kwa wale wanaofanya mitihani ya PSPTB(procurement) mwezi wa 11/2014 disc au evining classes zinakua wapi?na kwa wale ambao wameshafanya,huwa amount inayolipwa ni pamoja na classes au ni mitihani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.