Habari zenu wadau.
Matokeo ya form 6 ndio yameshatoka na tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya alama za ufaulu, kwa mda uliobaki naomba tusaidiane ufafanuzi wa Kuingia Chuo Kikuu kwa kutumia mfumo...
Habari zenu wana jamvi napenda kujua jinsi ya kuomba mkopo loan board na gharama zinazohitajika kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kwa mwaka 2014/2015.
asanteni
Habari wana JF kuna tangazo limewekwa katika website ya wizara ya afya http/www.moh.go.tz browser yangu ya uc inasumbua haitaki ku preview kama kuna mwenye uwezo alipachike hilo tangazo hapa
Hakuna jambo linalo katisha Tamaa na kutia simanzi kama dharau iliyonayo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama KUTOTHAMINI MADAI YA WALIMU NA KUENDELEA KUONGEZA MADENI YASIYO NA MSINGI...
Mwalimu mmoja ajira mpya ameuwawa kikatili na wananchi wenye hasira baada ya kusababisha kifo cha mwanafunzi wake.
Mwalimu huyo alikuwa anafundisha Shule ya Sekondari Chinamili iliyopo wilaya ya...
Kila asubuhi na jioni nashuhudia udhalilishwaji wa viongozi wa baadae yaani wanafunzi wa leo jinsi wanavyohanya na usafiri wa mabasi pindi wanapoenda au kurudi mashuleni.
Wanakuwa ni watu wa...
Habari za asubuhi jf? Nawapenda sana kwani upendo ndo faraja pekee ktk maisha ya mwanadam. Jaman naomba mnijuze kama post za kilimo na mifugo kama zmetoka tafadhali jaman maana nmejaribu kuangalia...
Hivi hawa loan board wanataka tufe njaa au? ni week ya pili Sasa tupo Field mikoani huku hawajatupa pesa ya kutumia, Kama kuna wadau Wa loan board humu ndani jaman watu wanakufa njaa huku mikoani...
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wanafunzi waliomaliza, kozi za Bachelor of Veternary Medicine (BVM),Bachelor of Food Science & Tech (FST),Bachelor of Agriculturural Engineering (AGE)...
Salamu zenu wadai. Naombeni ushauri ikiwa ni pamoja ya information ya hiki chuo kiitwacho KILACHA Agriculture and livestock training institute. Kwenye form kinaonyesha Diocese of Moshi; kwangu...
Wana jukwaa poleni na shughuli zenu za leo.
Napenda kuwajulisehni kuwa Chuo chetu cha Elimu ya Biashara (CBE) kitatimiza miaka 50 tangu kianzishwe tarehe 25/01/2015. Chuo kimepanga kuzindua...
Wadau wa JF nimechaguliwa kozi ya Health distrct management sasa sijaielewa hii kozi inakuaje, nafasi zake za ajira ziko vipi?? Na pia hawa ndo watu gani??? Mm sikuichagua nilichagua crinical...
KWA WATU WA ARUSHA
Plz nisaidieni,kuna m2 ambaye anakitabu cha fundamentals of physics ambaye angetaka kuniuzia au labda kuna ambaye anajua sehemu kinapatikana anitaarifu,please nakihitaji.
Jamani nauliza hivi kwanini vyuo vya kikatoliki vinalazimisha watu kufanya mitihani siku ya jumamosi? ila jumapili hawawezi? na wakikujua wewe ni wa jumamosi ndio wanakuambia ukubali kwa kuweka...