Naomba msaada wenu wakuu nataka kujua duration (muda) kwa kozi ztolewazo na open ni sawa na duration(muda) za vyuo vya kawaida au?,,,,na ikiwezeka na anaejua fee structure za open,,,,mfano...
wadau nacte wanatupa presha sana, ukiingia kwenye profile yako utakuta umechaguliwa chuo ila unatakiwa uconfirm sasa hiyo confirmation button ipo disabled na wamesema kama hutoconfirm mpaka tar.12...
habari ?
naomba unijuze kama wewe ni muhusika wa IFM au TIA.
nimepeleka form ya maombi ya kujiunga kwa ngazi ya certificate katika vyuo hivyo.
Kwa hiyo ningependa kufahamu kama majibu yamesha...
habari ndugu, hivi kunauwezekano wa mtu kurudia mtihani wa kidato cha sita kwa masomo mawili ya comb yake? Naombeni mnisaidie kupata jibu sahihi tafadhar.
Jaman wakuu vp mazingira ,chakula ,malazi ,na ufaulu wa kidato cha 6 hasa masomo ya science kama PCB? Kwa shule tajwa hapo juu! Na je bado ina o'level? Usumbufu mwingine kama kulima mazao je?
Hiki chuo kinatoa elimu ya kukariri na sio kumfanya mwanafunzi awe critical thinker haiwezakani mtu mmoja usome course 11 hadi 12 kwa semister moja kwani inamfanya hata mwanafunzi akose muda wa...
Teh teh teh kwanza Hongereni kwa kuchaguliwa katika moja ya shule ngumu Tanganyika sijui kuhusu Zanzibar, ukimaliza hapa JKT huwezi kwenda kusumbuka coz hapa MTISAFI ni JWKBU(Jeshi la kupambana na...
Wanajamvi naomba msaada tafadhali,
kuna mtu anafanya reg. OLAS lakini akifikia hatua ya kuingiza details za grantor, mambo yanakuwa tofauti na tulivyofanya kipindi kilichopita, lakini hapa...
N mwez sasa tangu heslb ianze kutoa ahadi fake kwa serikal ya wanafunz kwamba majina ya field yapo tyr na yametumwa chuo haitosh tumeondoka bila kusain huku tukipewa maneno ya faraja kwamba pesa...
Namshukulu Mungu kwa kupata nafasi ya masomo kwa ngazi ya post graduate diploma in procurement and logistic management katika chuo cha Tanzania Institute of Accountancy.Je, ngazi ipi nitayoanzia...
wakuu hamjambo?!!
Nilikuwa naperuzi mtandao kutafta chuo nikatimize ndoto yangu ya kupata MAsters ya Biashara!
nimefungua UDOM WEBSITE nikakutana na kali ya mwaka aisee.... wanachuo 34...
Bila shaka ni jambo lisilopingika kuwa kozi hii ni muhimu sana kwa mid carrier na wajasiliamali hasa katika sekta ya Kilimo, wengi wetu tumebanwa jiji Dar na masumbuko ya Maisha. Tungependa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.