Jamani wadau wa CPA(T), naona kama NBAA wameyumba kidogo, kwani kwenye new conversion simplified
Mtu anayedaiwa P15 ya Module E na Module F hakufaulu, atafanya kwenye syllabus mpya Corporate...
Ndugu wanajamvi naomba kuelimishwa kidogo kupitia swali lifuatalo:
Kuna uwezekano wa mtu kufanya Phd bila kupitia Masters? Na kama jibu ni ndio ni katika mazingira gani hasa?
Nauliza hivi...
Wadau nauliza ni shule zipi za serikali za sekondari zinafundisha masomo ya compyuta na ipo wilaya ipi, kama unaijua maeneo ya kawe, tegeta , mbezi kimara , mwenge naomba tujuzane wadau wa elimu.
Salaam sana wapendwa!
Nimeangaika kufanya registration ya undergraduate on line kwa equivalent zangu lakini mtandao unasumbua sana na muda ndo umekwisha hivo.
Nimekwisha lipia 50,000/= kwa...
me ni mwanafunzi wa kidato cha tano na nachukua PCM,ningependa mnishauri kati ya computer engineering na civil engineering ipi inamata kwa hapa tanzania kwani napenda xana engineering hz mbili
Tafadhari naomba mnisaidie kama kuna mtu anaifahamu vizuri hii Kampuni inayojiita A & M FREIGHT LIMITED na Dr. Amy Aliku mwenye No.0769 014 953 anayedai kuwa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo hapo...
Me nikijana elimu yangu diploma hila nimefanikiwa kupata kazi hila hiyo kazi nnatoka muda mbaya sana siku umetoka mapema saa 4 usiku,tatizo linakuja nnataka kujiendeleza kielimu kwa course ambazo...
hello wana jf.
mimi nimemaliza form 4 mwaka jana.
matokeo yangu ni mazuri nna dvn 1.11 na AAA PCM.
nilichagua tech colleg(DIT) first choice.nadhani engineer aliyesoma diploma halafu BA ni safi...
Jaman wana jf naomben sana ushaur wenu kati ya hizo kombination mbili ipi n bora ambayo mnanishauri nikaisome a-level.Katka kuchagua nilianza na egm lakn bado na wasiwas wa kusoma kombi hyo naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.