Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanajamii naomben mnijuz,mtu asiye fauru biology,anawez kujiunga na chuo maabara kwa ngazi ya awali,akipata sifa aendelee na ngaz ya cheti,anaejua anijuze
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau plz naomba mnisaidie hili. Nataka kuanza kujiendeleza kwa muda wangu mwenyewe baada ya kuomba ruhusa ya masomo kutoka kwa mwajili wangu bila mafanikio. Nimeona pale UDOM kuna MBA executive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
majina ya wanaojiunga vyuo vya ualimu grade A yatatoka lini naomba mnijuze wadau.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
je wewe ni mwanafunzi au mtu yoyote unataka kujiendeleza kimasomo katika ngazi yoyote ya elimu na hujui pa kuanzia? binafsi natoa ushauri wapi unaweza ku-apply kulingana na grades zako kwa sasa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Naomba anayefahamu Shule ya chekechea ya bweni na gharama zake anijulishe ambayo iko katika mtindo wa medium Tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hellow wana JF, hope wazima. Nahitaji kachukua course ya interior designer. Kwa sasa hivi niko Dar es salaam na ningependelea chuo nikupate Mwanza ila sikijui hata kimoja, lakini kama ntakusa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba mnijuze haraka ili niende huko mjini nikayaone maana niko bush.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau polen na kaz..mdogo wangu amehtmu form4 2012 alipata dv4 points 26 sasa anahtaj asome kozi za afya.. civ_D hist_C kisw_C eng_D geo_D bios_D chem_D b/math_F Je! kwa matokeo haya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naombeni mtu mwenye contact za shule(simu) au anayefahamu kuhusu joining instruction ya shule hii please. aniambie
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Jamani naombeni mnifahamishe kama ni kweli inatakiwa kubeba results slip shuleni ili upokelewe ama la!mana sielewii
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Dah hayo yamejiri kwene miongoni mwa form za kujiunga na shule flani hv.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii forum.mimi ni kijana ninayesoma Minaki high School,dar es salaam kwa combination ya PGM.nilikuwa naomba kujibiwa swali langu kuwa,mtu anayechukua PGM and then labda akafeli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Once I attempt to download certain apps in my android I always experience failure message "Your content-filtering does not allow you to download this application" I have checked the "unknown...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Niaje wadau,nacte wameachia selection awamu ya kwanza.lkn kwa baadhi ya profiles za waombaji zimeandikwa"selection still in progress pls b patient..na ktk current status pameandikwa "PS"ina maana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tanzania Revenue Authority (TRA) Despite complaints by private school owners regarding the multiple taxes imposed on them, the Tanzania Revenue Authority (TRA) has directed them to continue to...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM tarehe 05/04/2014 kitamtunuku Mhe. Freeman Mbowe shahada ya heshima yaani Honorary Doctorate Mhe. Freeman Mbowe kwa kutambua mchango wake wa kukuza demokrasia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
nipo wilaya ya nzega idara ya msingi natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kituo cha kazi aliyeko ARUSHA,MBULU,KARATU,AU MANYARA anitafute kwa NO. 0758405749 au Grolyshayo@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Huu utaratibu mpya wa kujiangalia mwenyewe umepangiwa chuo gani uliowekwa na tcu unaanza kutumika lini,baada ya deadline ya application?
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Shule imeanza Jana jumapili, Asubuhi (saa nne-saa saba): Tumepiga corporate reporting (IAS 16- PPE) Mchana (saa nane- saa 11): Tumepiga perfomance management...introduction Msichelewe wadau...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeipata kutokakwa Mdau CANDIDATES WHO FAILED MODULE E , A candidate who failed Module E under the phased out syllabus shall be required to sit and pass the following papers in order to be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…