Wadau naomba kuuliza,hivi mfano mtu akamaliza kidato cha 6 na matokeo yakatoka mazuri kuwa amechaguliwa chuo kikuu,akaamua kuminya mwaka huo ili aende mwaka unaofuata,nielezen ni hatua gan...
Msaada msaada!!!!!,
Ningependa mwenye taarifa zozote kuhusu shule hii "Umawanjo Secondary".
Napaswa kwenda huko ila sijui iko Wilaya gani kati ya Njombe au Ludewa!......
Wana Janvi...
Habari wannajukwaa wenzangu? Naomba kuuliza. Hivi ni tovuti gani ambayo inaweza nisaidia katika kupata materials kwa ajili ya kufundiaha somo la English kidato cha nne????
Hi guys..
Naomba kufahamu utaratibu uliowekwa na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo, wana-update vip taarifa zao ili kuendelea kupata mkopo kwa mwaka ujao wa masomo? I remember...
Hali ya maisha ya wanfunzi wa SUA ipo matatani.
Hii inatokana na kucheleweshwa kwa pesa zao za kujikimu kutoka loan board. Ni kama wiki ya tatu sasa imepita tangu tarehe rasmi ambapo pesa hiyo...
Salaam!!
Naomba kujulishwa kama kuna ulazima wowote wa form 6 waliomaliza mwaka huu kwenda jeshini kama walivyopangiwa. Je, ni lazima sana au mwanafunzi anaweza kuamua kutokwenda?? Na kama...
Chadema na siasa za unafki na uzandiki. Pole
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi. Ni mwaka tuu tangia uitwe wewe ni shoga na
Ezekiel wanje tena kwenye chombo...
Serikali yetu ni sikivu japo kusikia kwake huwa ni kwa msimu na husikia sikio moja. Walimu tunaishi maisha magumu, mshahara kiduchu, nyumba za walimu hakuna! Mwalimu anatakiwa akapange chumba japo...
NATIONAL EXAMINATIONS
COUNCIL OF TANZANIA
PSLE 2013 EXAMINATION
RESULTS
MUGINI ENG MED PRIMARY
SCHOOL - P1303065
WALIOFANYA MTIHANI : 29
WASTANI WA SHULE : 228.5172
NAFASI YA SHULE...
Hatujui cha kufanya...ni baada ya kutaka kugomo kuingia madarasani kwa sababu ya ukosefu wa bumu, tumeshindwa kufikia hatima yetu ya kugoma baada ya kutishiwa na mkuu wetu wa idara pamoja na...
Jamani mimi ni mwalimu nilyepangiwa katika halmashauri fulani lakini sikuwa na transcrip hivyo sikupokelewa/sikuaajiriwa na kuambiwa ntapokelewa pale ntakapoleta hyo transcript na chuoni...
Jamani wanalugalo sec mpo? Nakumbuka enzi hizo za akina Jagafus, akina Chips nk. Ebu tukumbukane jamani japo wengi ni RIP kama Ester Makingi. Hebu kama mpo hebu jitokezeni basi.
Kwa heshim , wana jukwaa wa jf ,hivi kama umemaliza Form six miaka minne iliyopita na sasa umeapply chuo Kwa zile Course ambazo ni priority kama engineer, education je Unaweza! kupewa mkopo na...
Hali ya chuo hiki maarufu kama saut Moro ni mbaya sana kwa kuwa imefikia hatua wanachuo wanashindwa kuhudhuria vipindi kwa hali mbaya ya kifedha inayopelekewa na kukosekana kwa boom chuoni hapo na...
Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo bodi ya mkopo kitakufikilia
Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewae
Wadau kuna watu humu ndani walisha wahi kusema unapofanya application za bodi ya mikopo cheti cha form 6 haki hakihitajiki. Je mbona kwenye zile form vyeti vyote vinahitajika F4 & F6 anae jua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.