Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo chuo kitakufikilia
Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewa
kama uko mkoa wowote wa kaskazini na maeneo ya jirani kama arusha, manyara, kilimanjaro, tanga, singida, dodoma, na mara tuwasiliane. Hakikisha ni sehemu ambayo naweza kusafiri na kufika Arusha...
Nisijue walioko wizarani wanafikiria nini ila ukifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu matokeo ya kidato cha nne, utaona wazazi na wahitimu wana sintofahamu nyingi na zenye kuumiza akili za watu...
Jamani Kwa Wote Tuliowahi Kusoma Au Mnasoma Shule Za Kyela Hebu Tukumbukane Kupitia Thread Hii Kwa Mimi Naitwa Daudi Nimesoma Shule Ya Nkuyu Na Kwa Sasa Npo Kyela
Mimi ninataka kwenda kusoma kilimo kwa ngazi ya cheti sasa kuna kuajiriwa serikalini baada ya kumaliza masomo na kufaulu?
Naomba msaada wa jibu lako....,
kunahabari nimeipata hv punde kuwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kuwa wamebadili mihula yao kwa wale wadiploma wataanza mwezi wa tisa hizo ni tetesi tu badoo hazijasibitishwa
Baada ya kukosa mshahara "kwenye mazingira ya kutatanisha' umefuatilia wee! Hadi basi mwishowe ukaamua kuaply plan b (wengine walikopa)., ukitegemea salary mwezi huu itaflow!
sasa kwa kuwa...
Kama hujui maana ya chemba nenda shule za boarding za serikali zile za zamani (kongwe) hakika utazijua.
Ni mahali ambapo kikundi cha wanafunzi kuanzia watatu hadi watano ambamo huwa wanapiga msuli...
Wanafunzi wa elimu ya juu hatujapewa hela zetu za mkopo,najiuliza kulikoni? katika utawala jambo la utoaji wa taarifa huwa ni muhimu watu angalau wapate matumaini! Au tunabaguliwa kwkuwa sio vyuo...
nyumba kidogo nbaa walitoa rivised excemption policy ilisema kuwa kutakuwa na excemption ya paper by paper kwa watu waliosoma bussiness related subject(non accounting ) mm nimesoma corporate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.