Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nduguzangu mambo niaje? Samahann naombeni mnisaikitu kimoko, utafanyaje endapo ukiwa unajaza form ya mkopo wa chuo na kabla huja maliza kujapa ikagoma kuendelea kufunguka page nyingne ili ujaze?
0 Reactions
1 Replies
711 Views
napenda kuwasalimu wale wote waliosoma tunduru secondary
1 Reactions
3 Replies
8K Views
To all university student. Jamani ... tume vumilia sana hii hali ya kukosa bumu .. Lakin ina maanisha nn kwa bodi ya mikopo kutoa ela kwa baadhi ya vyuo na kusahau vyuo vingine .. Toa maoni yako...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anayejua chuo kinachofundisha nursing naomba contacts zao
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hawa ndo wahandisi ambao kwa namna moja ama nyingine wanaumia sana kuona haki haitendeki kwa mnyonge, maamuzi ni kuonana na dvc asbuhii hii kama hana jibu cjui jitakacho endelea. where there is no...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
naomba kujua nlini deadline ya kutuma maombi ya ualimu imean grade A na thn procedure za kufuata ilikukamilisha muamala mzimaaa
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Habari za mchana wakuu. Naomba keleweshwa kuhusu walewanao somea assistance clinical officer kwa miaka miwili je waneweza kuchukua diploma na kuwa clinical officer kwa mwaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NAIPONGEZA SANA SERIKALI KAMA IMEAMUA KUONDOA VITABU VYA ZAMANI. Lakini angalizo langu ni swala hili liwekwe wazi kwanza uwepo mjadala wa mitaala kwanza watanzania waangalie nini mtoto wa shule...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajamvi matokeo ya sec za seminari(za katoliki) zinafanya vzr sbb n kanuni na sheria kali. vp shule za kiislamu kunani
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wadau heshima mbele Nina ndugu yangu kamaliza form six mwaka huu. Kasoma CBG plus Basic Applied Mathematics. Kaniomba ushauri asomee nini. Nami naomba msaada hapa maana mawazo tofauti tofauti...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Habari, Kuna yeyote amewah fanya mitihan kwa ajili ya certificate tajwa hapo juu? Ningependa kujua mitihan inakuaje.. shukran
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimejaza fom ya mkopo ila kuna kosa kwa mfadhili na nataka kubafili je inawezekana?????
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hge
kwa anae fahamu anisaidie vitabu vinavyo hitajika na waandishi wa vitabu hivyo.
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Hii tarifa ya kuweka vyeti vya shule/chuo dhamana ili upate mkopo CRDB mimi naona haiko sawa kabisa, kwa sababu unapokopa lazima urudishe mkopo uliokopa, Je endapo utashindwa kurudisha mkopo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau kuna jamaa kaka yangu anamaliza TECU mwaka huu amepiga hiyo kozi, jana aliniuliza vipi kuhusu soko la ajira kwa kozi yake nikamwambia ngoja nilipeleke kwa wenyewe wadau wa elimu watafafanua...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
1.civil engeneering 2.electrical engeneering 3.electrical and telecommunication engneer 4.machanical
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nitawahi kwa mwaka Hui!??
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mm ni kijana mwenye umri usiozidi miaka ishirini na tano .huwaga najishughulisha na kazi za ufundi wa sofa na huwa natengeneza sofa nzuri kwakweli ila ninakuwa namashaka pale ninapokua nikitaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana_jukwaa kuna_dogo kaniomba msaada wa kumtafutia chuo cha uuguzi Kwa Mkoa wa Dar es salaam! Bt amesema chuo chochote kile ila kiwe Dar.
0 Reactions
13 Replies
13K Views
Habari Zenu Wapendwa... Naomben Mnisaidie Kwa Anaefaham Hyo Kozi Hapo Juu Anifahamishe About Merits,demerits And Future Outlook (ntafanya Kaz Gan Nkimaliza Na Upatkanaji Wa Ajira) Yke Ikoje Pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom