Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadogo zangu mliomaliza f6 mwaka huu,ongereni sana kwa kumaliza level ngumu na yenye changamoto nyingi.Serikali kwa kupitia wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa imearudisha mafunzo ya jeshi...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Hebu jitokezeni hapa tupeane michongo ya kimaisha. unawakumbuka hawa 1.MR, MSELEM-H/master 2.MRS MTANI-S/mistres 3.mwl.MAKALA 4.MWL BERE 5.MWL BUZA 6.MWL KUSAYA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What is the first letter in the English alphabet? A ) C B ) D C ) A D ) B
0 Reactions
8 Replies
1K Views
.
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Hizi question marks nyekundu kwangu nikama mapambo kwani nikiweka mouse hazifunguki kunipa maelezo! Hapo kwenye B na C najaza namba katika mfumo upi wakuu? kila nikijaza naambiwa invalid index...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mana daaaa watu walizidi kudondoka bhana atleast sahv watu watasafir hatakwenda tz kidogo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni muda sasa tangu serikali kupandisha boom kutoka 5000 hadi 7500. Kiasi hiki bado ni kidogo sana kwa maisha ya sasa hasa kutokana na mfumuko wa bei kila kukicha. Kumbuka kiasi hiki ni kwaajili ya...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
hivi tunatambua kuwa walio maliza kidato cha tano wameanza kuomba mikopo swali! je hawa watu wanaenda jeshini na vyuo hawaja chagua kyomba vyuo itakuwaje nawakati wanarudi mwezi wa 9 je...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
vijana majina yametoka na kesho wanasaini boom....ni kelele za shangwe zilizsikika pale majina yalipokuwa yanabandikwa....sasa tumieni hizo fedha vizuri msije mkaanza kulalamika
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafazali kwa anayejua kuhusu taarifa hyo wana jamiiforum.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Najua hizo sehemu sio ngeni kwa wengi.Ni mwalimu gani hotamsahau?kwa nini?.Kwa upande wangu sitomsahau MODDY jamaa anapiga physics hatari.
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Ni baada ya wanachuo kushindwa kuvumilia hali ya sintofaham inayoendelea kukosa pesa ya mkopo,wanafunz hao wameita uongozi wa chuo na kuongea nao na walipokosa majibu ya kuvutia wanafunzi hao...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Wanajamvi habari! Kwa niaba ya Kampuni yangu ya Mwangili Electronics Solution(MES), tutaendesha mafunzo ya muda mfupi ya kielectronics. Mafunzo haya ni kwa ajiri ya Wataalamu na wale wote wapenzi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kweli mimi nashangazwa na kitendo cha serikali kuto kutenga fungu kwa ajiri ya kuwapa walimu ambao wamethibitika kuwa wamepanga vyumba vya kuishi mtaani. Mwalimu kulipia pango kutoka kwenye...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
wadau na wataalam wa kufikiri nawasalimuni. naomba kuuliza mbona nkifungua OLAS inasumbua sana inasema cant connect to data base.sasa registration na ku fill form itafanyikaje
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi, mimi ni mfanyakazi ninayejiendeleza ki-elimu na Juni mwaka huu nataraji kumaliza Diploma ya Uhasibu. Natamani sana kuendelea zaidi ya hapa kwa kuwa nafanya vizuri. Naombeni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji mwl wakubadilishana nipo karatu nataka niende arusha mjin au arumeru idara msingi.0788628489
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Nahitaji mwl wakubadilishana nipo karatu nataka niende arusha mjin au arumeru idara msingi.
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Tcu tunaomba mtusaidie maana hapa tunapata hali ngumu ya kitaluma,no quality of library na mengineyo mengi
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamvi msaada kwa anaejua kuhusu quality of education inayotolewa Dar es salaam University College Of Education (DUCE) vipi kinaweza kua ni miongoni mwa vyuo bora nchini?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom