Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanajamvi kwamatokeo Haya ya form four mdogo Wangu naweza pata chuo? Kwakuanza nangazi ya Cheti... Hayo ya namba 20
0 Reactions
1 Replies
653 Views
jaman wana Jf mm naombeni mjadala na nyie mjadala huo unaxema hv, hv vyeti vya Kidato cha .nne mwaka huu huwenda kitakua tofauti eeee,maaana mpaka xaxa havijatoka ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale mliwahi kusoma Kikuyu na kuacha watoto wenu pale Kikuyu na vile Vibinti VIKUYU basi jikumbusheni shule yenu. Bahati mbaya kwa sasa haipo tena maana kimekuwa Chuo kikuu cha Wa-Anglican. I...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa eti bodi ya mikopo tayari wameshatoa form za kuomba mikopo kwa form six leaver??? Nijuavyo huwa wanaanza baada ya matokeo kutoka....ila kuna mtu kaniambia wameanza....msaada wadau...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba msaada kwa anaejua tution ya hge kwa mwanafunzi mtarajiwa wa form5.amechelewa kuanza so nilikua nahitaji centra au mwalimu atakaeenda nae kwa kasi kidogo ili kumtoa u olevl.mdogo...
0 Reactions
6 Replies
969 Views
Kuna shule za sekondari za binafsi zinatangaza kudahili wanafunzi wa kidato cha tano hata wakiwa na d3 au c2 na d1 au d5 wanadai eti wameruhusiwa na wizara ya elimu.. Kama kuna mtaalam toka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Almost everything is from our mind; the product of our thinking .Thinking makes an individual to act productively or destructively. I am not sure how many of us do something to equip or safe guard...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
jamani bodi okoeni watoto wa kike
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani ni maana ya wanaposema nta level 4,5&6
0 Reactions
8 Replies
24K Views
jameni eti walio pata 1 had 3 wana kwenda ualimu kama watapenda c majanga
0 Reactions
2 Replies
801 Views
nimehitim kidato cha nne na nimepass na komb ninayotarajia ni pcb but upande wa mathematics nina *e* swali je* nitachaguliwa hyo komb
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Wakuu Inasemekana kuwa div 1 had 3 ndio watakaojiunga na vyuo vya ualimu, je kama me nina Div 3 ya 31 na combi imebalance, nitachaguliwa kujiunga na kidato cha tano au ualimu? Na kama ni ualimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ufisadi ninaouzungumzia ni kwa kumpa zawadi mkuu wa shule ya sekondri ya bunda ya kuwa mfanyakazi bora wakati matokeo ya mtihani kidato cha nne kuna ziro 133 na hakuna hata division one. je...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii kwa anaye zifahamu topic za history 1 and 2,za form 5, NAOMBA UNI ORODHESHEE HAPA TAFADHARI. Na ningependa kufaham nn tofauti kati ya HISTORY 1 NA HISTORY 2!?
0 Reactions
8 Replies
19K Views
Tamisemi wametoa majina ya wafanyakazi wakiwemo waalimu waliohama vituo kwa vibali maalum leo hii mchana! Cha kushangaza ni kwamba hawatoi tamko lolote kuhusu watu waliokosa ajira!
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Habari zenu wadau swali langu kama lilivyo hapo juu linalenga kufahamu kama kuna kozi ya muda mfupi juu ya web designing kwa miezi mitatu na kuwa na uwezo wa kudesign na kuhost site . Kama ipo ni...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ninatumia nafasi hii kukukaribisha Dr.Ndalichako hapa JF huku nikizingatia ufinyu wa wakati wako ambapo nina uhakika kabisa kuwa utakuwa unabanwa na majukumu mbalimbali kuanzia ya kikazi hadi ya...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Ndugu wana JF napenda kufahamu mwisho wa kutuma maombi ya uwalimu Grade 'A' kwa vyuo vya serikali mwaka 2014/2015. Mwenye info atujuze please!
0 Reactions
6 Replies
15K Views
jamani msaada web au mtandao nitakaoweza pata nots za mathematics especial SET za A-Level na n.k
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…