Sio jambo la kustaajabisha kuona kila mwaka wilaya ya meatu kielimu kuwa mwisho mwisho katika matokeo ya kidato IV.
Viongozi wetu hasa DEO Secondari kuwa mbabe na mwenye majibu ya kejeli kwa...
msaada wenu wadau nina ndugu amemaliza form four kapata four ya 31 kasikia tetesi serikali imetoa ofa kwa baadhi ya vyuo kikiwemo katoke bukoba mwisho div 4 ya 35 mda wa mafunzo ni miezi 6 tu kuna...
Inakuwaje TCU iwanawapa uhuru vyuo vikuu hapa nchini kujipangia kuwa PASS ianze na kuendelea? Mfano mahususi ni vyuo vya watu binafsi kama SAUTI,JOSIAH KIBIRA NA MAKUMIRA ambapo 'C' HUANZA NA 50...
Hi! Natafuta mwalimu wa shule ya Msingi wa kubadilishana nae kituo cha kazi,Mimi nipo mkoa wa Katavi,Wilaya ya Mlele.
Kwa Mawasiliano zaidi tumia namba hii +255752832995
10 SIMPLE WAYS TO INCREASE YOUR BRAIN POWER
How often do you think about your brain? Do you ever stop to marvel at its incredible power and supreme cleverness? Or at least check in and give it a...
Habari za majukumu wadau, Nina Bwana mdogo wangu anataka kusoma Masters online,katika kuzunguka hapa na pale amekutana na Contact za chuo kinaitwa 'Assam Don Bosco' kipo India,baada ya kuperuzi...
Jamani naomba tusaidiane mawazo labda mi sielewi vyema. Ni kweli kuwa vyuo vingi vya ualimu vya serikali mtu akiteuliwa kuwa principal anakuwa amepewa mrija wa kuvuta utajiri ingawa nahisi...
Jamani wadau pamoja na wale tuliomaliza form 6,hivi ni kwel serikali haijatengeneza Leaving certificate? Maana headmaster wetu katuambia bado hazijaletwa,tujuzane please kama nyie wengine mnazo
BILAL ISLAMIC SEMINARY, P.O.BOX 760, ZANZIBAR
P1360-0176
Kumb. MTS.2/54/LXXXIX/29 Tarehe ya Rufaa: 16-Apr-2014
Maoni
011 CIVICS F F Haijabadilika
013 GEOGRAPHY F F Haijabadilika
015 ELIMU YA DINI...
Muda umewadia kwa vijana kwenda kujifunza uzalendo na ukakamavu
JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) LINAWATANGAZIA VIJANA WATAKAOMALIZA ELIMU YA SEKONDARI KIDATO CHA SITA MWEZI MEI 2014 KUWA...
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza diploma ya business adm katika chuo kikuu cha mtakatifu yohana Dodoma (SJUT), Napenda kujua ni vigezo gani vinazingatiwa na bodi ya mikopo mpaka mwanachuo kupata...
Professional editing and writing of research proposal and dissertation in a timely manner is available at reasonable charge.
This professional service also includes:
Proofreading and editing...
nimshauri ipi kati ya hz huyu dogo kapata div 1 anataka kuapply baada ya kuusikilizia mziki wa advance alipokuwa akisoma pre form 5 pcm,mi nimemshauri aendelee atazoea hlf sa iv diploma wapo...
Kuna mwanafunzi wa kike chuo kimoja mkoani Tabora leo asubuhi amedondoka darasani baada ya kuchelewesha boom, kwa mjibu wa marafiki zake mwanafunzi huyo amekuwa akilalamika hana pesa takribani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.