Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani hivi kama nina degree ya Baed naweza somea masters ya kitu gani ukiacha education kuiyunga tenaa?please naomba mnijibu.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Naomba nisaidieni ilo swali
0 Reactions
23 Replies
3K Views
I was a pupil in Mosh Technical Secondary School in mid 80s, and we were doing pretty well academically. I've bee terribly shocked by CSEE 2008 examination results just released. Can someone...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
1. One day, a person went to a horse racing area. Instead of counting the number of humans an horses, he conuted 74 heads and 196 legs. How many humans and horses were there? A. 37 humans and...
1 Reactions
5 Replies
967 Views
Wadau mwenzenu nilimaliza diploma mwaka jana,mwaka huu nataka kuendelea na degree sa sijui tcu lini wanaanza kupokea application,naomben mni-update zitakapokua tayari,maana kila nikicheki mtandaon...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu, Mimi ni mgeni katika haya majukwaa,nilikuwa naomba msaada wenu wa kupata listi ya shule zote za sekondari na maeneo zilizopo(nikimaanisha wilaya na mkoa) ntafurahi zaidi kama...
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Hivi GPA ambayo ni ndogo yenye haueni ni ngapi?
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Naomba mtu anayefahamu website ya chuo chochote cha kilimo kilichopo morogoro kwa ngaz ya cheti anisaidie.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Huitaji Hata cheti cha form 4 kujua jambo hili, Computer Programming make this easy, Jaribu kupata Picha ATM mashine inavyo kagua kadi yako, na kujiridhisha kama ni feki au halali kasha inaamua...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Habari, samahani jamani ninatatizo ambalo limenikabili ninaomba msaada wenu, nina mdogo wangu alifanya kidato cha nne mwaka 2005 akapata division 4 ya 33, nilimwambia arudie hakutaka akaenda...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
hivi jamani mwaka huu wale walioomba kufanya mtihan wa mature age pale arusha technical college (a.t.c) utafanywa au la?
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Kuna wimbo nikiusikiza najisikia vibaya pale anaposema ualimu na upolisi ni kimbilio la waliofeli,sa hivi hii kauli ni ya kweli.Roma Mkatoliki
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana jamvi naomba msaada kwa mwenye research proposal juu ya mambo ya marketing anisaidie tunaweza kuongea pia jinsi ya kucompasate???
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kutokana na tangazo la wizara kuhusu ualimu naomba mnijuze ni sifa gan ambazo zinatakiwa kujiunga na mafunzo kabilishi ngazi ya chet? na je wengine inabid waombe direct ualimu grade A.?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni msaada namna ya kupost barua kwanjia ya EMS
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Jaman wana Jf,mimi ni mwanafunzi mhitimu wa kidato cha nne 2013 Kutoka shule ya sekondary Ilemba(shule ya kata) Bonde la sumbawanga mkoani RUKWA!Nimepata division II-18,Nilifanya uchaguzi wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Msaada tafadhali
0 Reactions
29 Replies
13K Views
Post deleted by author!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa ambaye anafahamu kama wizara ya afya wametoa fomu za mafunzo ya afya kwa ngazi ya cheti na diploma naomba anisaidie zinapatikana wapi
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nafanya wide research napenda kufahamu wahitimu wa vyuo vikuu wanafikia wangapi kwa mwaka? Tanzania wangapi kwa east africa naomba mwenye majibu bado nakusanya data wadau.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…