Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa wale waliosoma Usagara secondary school zamani ilitambulika kama karimjee, pitieni hapa tusalimiane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Computer Science vs Sociology vs Business Administration. Course gani kati ya hizo ni more marketable, yenye future nzuri na bila kusahau maslahi mazuri. Ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Naomba yeyote anayeijua program/software inayotumika kuandaa ratiba ya vipindi vya masomo na mitihani katika vyuo au shule kubwa, anitajie tafadhali. Pia upatikanaji wake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Zimebaki takribani km cku 15 vijana kidato cha sita nchini kote waanze mitihani yao ya mwisho, ni wao pekee watakaohukumu future yao ktk maisha ya kitaluma.Ungana nao kwa maombi mbele za Mungu wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi, jamani, naombeni msaada wenu wa mawazo. Nina somesha mtoto wa dada angu, shule ya secondary, mama yake alisha fariki na baba ake katiwa ndani, kafungwa kiufupi. Huyu mtoto sasa amenichanga...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Wakuu heshima mbele.Katika kupita pita kwangu nimekumbana na swali likinitaka nieleze uhusiano wa Histone na mRNA na nieleze kwa nini Histone haina mkia wa Adenylate Polymer kwenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Junior students (forms III & IV) and senior students (forms V & VI) from any recognized secondary schools in Tanzania are invited for a contest to test their aptitude in mathematics. The contest...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Hv juz wakati walimu wapatao 150 waligoma kuondoka katika ofisi za halmashauri ya manispaa ya Bukoba KWA kile walichodai kuwa wamechoshwa na dharau PAmoja na dhuluma inayofanywa na wahusika...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni zipi sifa za kujiunga na vyuo kwa utaratibu mpya wa ufaulu kwa waliomaliza kidato cha nne 2013/2014
0 Reactions
1 Replies
3K Views
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Habari za mida wakubwa, naomba kujuzwa namna GPA zivopatikana (namna ya ku-calculate GPA). Pia naomba kujua first class GPA yake ni ngapi, second class, lower second n.k... Do it 4 me pliz...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu naomba kuuliza kwa anae fahamu kuhusu hz selection zitatoka ln
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari za kazi pole na majukumu. Ndugu zangu wa Dar es salaam pole na matatizo yanayoendelea kutupata ya mafuriko Mungu tu atatutetea .Kwanza nianze kwa kuwashirikisha katika hili Mimi ni kijana...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Samahan wana JF, naombeni kusaidiwa, wanaoomba ualimu, kwa waliomaliza 2013, wanatakiwa kuwa na division 3, au four 33 na 34, maana nimeshindwa kuelewa vizuri. Naombeni msaada wenu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani,mimi ni mwanafunzi wa shule moja hapa nchini.Niko na rafiki yangu darasa moja,sasa ameingia mgogoro na mkuu wa shule sasa amemuahidi kwamba atamharibia matokeo.Naombeni msaada,ni kweli...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nina kijana amebalance vizuri kwenye matokeo yake ya kidato cha nne masomo ya sayansi. yeye anataka kufanya PCM ila mimi nilikuwa namshauri afanyePCB ana B+ ya Maths,physics,chemistry...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi form six tunaomaliza mwezi ujao tunaenda JKT?.Naomba unisaidia.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Natumai nyote ni wazima. Kama mada tajwa hapo juu inavyojieleza, ningependa kujua tofauti kati ya watu hao wawili kwani nimekuwa nikipata shida sana katika kutofautisha kati ya...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kama wewe ni mzazi mwenye Mwanafunzi wa O level (kidato cha i - iv), Au ni mwanafunzi wa O level (kidato cha i - iv) pata Bure nakala ya kitabu hiki kinachoelezea jinsi ya Kufanya Practicals za...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom