Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jamani wadau kama kuna mtu yoyote anatetesi kuhusiana na selection za matokeo atuambie
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Moe
Ministry of Education and Vocational Training mumetukarisha mno/ hadi tunaanza kusahau kusoma!
0 Reactions
4 Replies
976 Views
habari wanajf. nisaidieni eti kama mtu ameingizwa kwenye payral halafu baadaye wakagundua hakukwalify kwa kazi aliyopangiwa je kumtoa inakuaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa anayejua plz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwema wadau? Jamani mimi nlikuwa napitia web ya heslb kuangalia sifa za waombaji wa mkopo nikakutana na hayo maneno. Kwamba muombaji atafanyiwa "means testing" sikuelewa hembu nisaidieni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu Wapendwa naomba msaada wa kujua namna ya kuanza kuomba chuo na mkopo ni kuanzia mwezi gani?maana mimi nina diploma nahitaji niweze kujiunga na vyuo kwa mwaka wa masomo 2014/2015!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilikuwa naomba mnipe topic za bam za advance kuanzia ya kwanza mpaka ya mwisho, ili nione mambo yakoje huko
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Ili tatizo bado linanisumbua sana mwenye mbinu ya kuniwezesha kuijua hii lugha kwa haraka naomba anisaidie maana mazingira niliyopo yananilazimisha kutumia hii lugha muda mrefu sana.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habar wanajamvi? Naomba kuuliza eti IFM wameshaanza kupokea maombi kwa wale wa certificate?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jf Nadhani kila mtu ambaye yupo hapa u mzima kiafya nina swali dogo sana ambalo huwa najiuliza sipati jibu kila wakati ndio maana nimeamua kuleta huku ili mutoe maoni "NIKWAMBA KUOA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hv watu kama hawa inakuwa ni kwa sababu ya uwezo wao mungu alivyowajalia au nini sababu? Maana nina ndugu yngu anapiga msuli vbaya sana lkn akipiga paper majibu holaa sasa tatizo ni nini hasa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
UJUMBE WANGU KWAKO UNAVOELEKEA KUANZA MAISHA MAPYA YA UTUMISHI KWENYE JAMII YA WATU:- 1)ucjifanye unajua kuliko walimu ulio wakuta 2)ucjifanye ww ni bora kuliko jamii inayo kuzunguka 3)epuka...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nlikua nataka kujua kama umesoma private o level na ukatoka na one saafi A level ukaenda private comb mfano EGM ukatoka na one tena eti kupata mkopo hapo chuo inawezekana? Au ina depend na kozi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani wakuu anayewafahamu hawa walimu anijuze.paul alikuwa kahama na jakline alikuwa kibaha.0788628489contact yangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf ninaandika makala hii kwa uchungu na masikitiko makubwa, wakati wa utawala wa mwalimu Nyerere viongozi walikuwa wadilifu na walionyesha uzalendo wa hali ya juu. kila kiongozi aliye...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Chuo Kikuu cha Mt Augustine (SAUT)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!! Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an...
1 Reactions
46 Replies
8K Views
Kiukwel hali ni mbaya sana kwa walimu wa sayansi kwanza idadi yao ni ndogo sana ukilinganisha na hawa wa art na makazin pia hawapo kias kwamba hal ni mbaya sana.Mwl mwenye vipindi vichache anavyo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani hivi ubora wa chuo unapimwa kwa wanafunzi wengi kudisco au kwa wanafunzi wengi kufanya vizuri? Kama ubora wa chuo ni matokeo ya wanafunzi wengi kudisco then inakuwaje shule za sekondari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mambo vp jf members? i hope wote wazima kwa jf members waliosoma mkoani iringa shule ya sekondari LUGALO tufahamiane kupitia huu uzi tafadhali hata kama ukusoma lugalo lakini ulisoma shule...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1.kodi ya chumba cha kawaida- 50000/= kwa mwezi 2.maji ndoo moja lita20 -200/= hadi 500/= 3.umeme 15000/= kwa mwezi 4.dar es salaam kuna joto sana 5.kwa mshahara wa mwalimu,ni vigumu kufanya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom