Kwa muda wote ambao serikali imekaa kimya na kubaki kukomalia kauli za kisiasa kuhusu ajira za walimu tofauti na miaka mingine sipati picha kama bado kutakuwa na kero katika halmashauri kwa walimu...
Bila kuwakatisha tamaa walimu wapya watakaoanza kazi mwezi ujao kwa kweli serikali inatakiwa ifanye juhudi za haraka sana sana kuokoa nchi yetu.
I have tried to do a small analysis of the...
Huyu Mheshimiwa amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa biashara ile kongwe kuliko biashara zingine ya Umalaya ihalalishwe ili kuongezea mapato halmashauri ya wilaya ya Kinondoni.
Ni ukweli...
Aaron Parfitt organised protest over concerns about standards of teaching
He led 100 pupils at Bispham High School in Blackpool on a mass walkout
Teachers were unhappy and banned him from...
Karibuni wadau mliosoma ama ambao bado mnasoma Telecommunication Engineering, Lets us share ideas
What are the main causes of FAST FADING and SLOW FADING, and when we are dealing with these two...
Jamani hebu tukumbushane yale mambo mazuri yaliyokuwepo nyakati zile pamoja na changamoto tulizozikabilina nazo kama kufuata kuni pori,kubeba jembe ,na sahani,fyekeo,siku ya jtatu ,kukimbia...
Anayeitaji vitabu
Business Mathematics&Statistics-sixth edition by Andre Francis
Management&Cost Accounting-sixth edition by Colin Drury
Bei ni tsh 20,000 na 30,000 respectively napatikana...
Kwa Wana JF waliosoma Tabora Boys na UDSM miaka ya 1980's na 1990's
Nasikitika kuwajulisha kuwa Mwalimu wetu JOSEPH MWOMBEKI KABALIMU amefariki dunia huko Karagwe, siku ya jumapili 27/5/2012...
Walimu mnaokwenda kujiendeleza katika vyuo vikuu na vyuo vingine mnapaswa kuomba ruhusa katika mamlaka husika. Bila kufanya hivyo, mtahesabiwa kama watoro kazini na hivyo kuiweka ajira yenu...
1. Kuripoti
tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili
ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi.
2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuona Sekondari...
Nauliza kua zile ndoa za huku vyuoni tamisemi imezijali au ndo zimevunjwa?tunaomba mrejesho mana mapenzi yalio hapa chuo kikuu utazani wanapangwa shule moja
Habarini za asubuhi, msaada jamani wa mawazo unahitajika, mdogo wangu amemaliza chuo mwaka jana (shahada) BAED, matokeo yake yalikuwa mazuri tu na joho amevaa, form zote zilizokuwa zikifika chuoni...
Sisi ni wafanyakazi wa idara ya ukaguzi,tunaomba wakaguzi wakuu wa kanda wabadilishwe mara moja ili kuongeza ufanisi katika idara hii,maana kuna wakaguzi wakuu wamekaa muda sana na wanajifanya...