Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nahitaji mtaalamu wa kuchora advanced model kwenye computer
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi jamani wadau nchi yetu ina vyuo vikuu vingapi????maana huku mtaani kuna vyuo ambavyo sijui kama serikali inajua kama ni vyuo vyake..........tuseme ni maendeleo katika elimu au vipi?maoni yenu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.MEDICINE 2.ENGINEERING 3.LAW 4.NURSING 5.ECONOMICS 6.ACCOUNTS 7.VETERNARY MEDICINE 8.ARCHITECTURE
0 Reactions
169 Replies
22K Views
ndugu zangu nliokosa mkopo kutoka serikalin poleni kwa yanayowasibu maana natambua sio wote weny uwezo wa kujilipia ada, malazi na matumizi mengne... ushauri- msikate tamaa jitahidin ku appeal na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninataka Kuchukua Hii Certificate Kupitia ISAKA, Kama Kuna Mtu Yeyote Ambaye Amewahi Kufanya Mtihani Wa Aina Hii, Naomba Anijuze Mengi Kuhusu Hii Kitu Hasa Ugumu Wake Na Challenges Zake
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Hatua hiyo imekuja baada ya miaka ya hivi karibuni kuwa na malalamiko mbali mbali ya wadau wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya private na hata vya serikali kuhusu uongezaji wa ada kiholera bila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
umoja wetu wakati wa shida na raha,hatimae umezaa matunda,kesho bumu kama kawa kwa wote..hii ni baada ya daruso kuukomalia uongozi kulingana na mashart yao ya mwanzo..sasa shule itasomeka kwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani wadau naombeni jibu, watoto wa shule zetu siku hizi hawataki kusoma badala yake wanajishughulisha na mambo ya kihuni kama kuvuta bangi na kufanya mapenzi, na mambo mengine mabaya na kipuuzi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
hayawi yamekuwa hatimaye mchakato wa urais ktk chuo kikuu cha kumbukumbu ya sebastian kolowa umekaribia tayari wagombea wafuatao wamechukua form, nao ni: 1.tumaini mapunda,(hana lolote jipya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni chuo pekee ambachokinatoa mambo mnayoyashuhudia bungeni hasa katika hili bunge la katiba, takribani wahitimu 70 wameajiriwa kwenda kutafsiri lugha ya alama udsm mpo? Anzeni majigambo yenu hili...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Soma hapa kuelewa zaidi Save Societies: MATAPELI VYUONI WAZIDI KUJA NA MBINU MPYA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba kufahamishwa! Nimekuwa nawaza sasa ivi magarikaribu yote sokoni ni AT, sasa kwanini driving schools zinafundishia MT? na huku mtu ukifuzu unaendesha AT?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT...
2 Reactions
190 Replies
30K Views
Wadau naomba tushirikiane kutoa adress za vyuo wanavyoweza kuapply form four kulingana na perfomance zao plz take it serious na ikiwezekana andika na course offered na pia dadavua kama wanatoa kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari zenu wadau? Mimi ni mwalimu mwajiriwa wa serikali idara ya elimu sekondari walaya ya Ukerewe mkoani Mwanza.Nahitaji kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu kutoka mkoa wa Morogor na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu mwenye kujua hiyo kamusi inapopatikana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji dictionary kilatini to Kiswahili au English ntapata wapi?Naomba anayejua anijuze
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hv pesa ya kujikimu inakuwa kiasi gani kwa mwlm wa grad A, Stashahada, & shahada? na je kunakurudishiwa nauli yako? ningependa kujua wadau? please
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Tanzania ufisadi hautaisha kwa sababu kila mtendaji serikalini anajiangalia yeye na familia yake. Huwezi kuamini lakini ni ukweli uliodhahili kuwa walimu walioajiriwa tangu 2011 katika halmashauri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…