Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Yeyote anaejua kuhusu alama zitakazohitajika kujiunga na masomo ya uwalimu kwa wale waliye maliza form iv mwaka jana 2013. naomba mnijulishe.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi mwalimu sec mbinga natafuta wakubadilishana wa njombe,arusha Moro au dar 0764902984 .
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Wanaosubiri ajira kuriport vituo vya kazi siku ya wajinga duniani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mbeya, imesema shule za binafsi, vyuo vikuu vya binafsi na taasisi yoyote isiyokuwa ya kiserikali zinapaswa kulipa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu tunawaomba mtujuze, kwa sisi Walimu wapya watarajiwa ni vitu gani muhimu ambavyo vitatakiwa tuwe navyo mara tutakaporipoti kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tutakazopangiwa na pia katika shule...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Jana nilimpa taarifa moja wa walimu watarajiwa kuwa ajiandae wataenda kuripot kazini tarehe moja April, responce yake "MUNGU WANGU, NTAWEZA KUFUNDISHA KWELI MIMI? HAPA SINA A WALA B" Sasa wewe...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Mimi ni mwanafunzi mwenye matarajio ya kusomea architecture mda si mrefu Tafadhali naomba mchango wenu wakuu ..kiroho safi 2
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, chuo kikuu cha sayansi na teknolojia Mbeya kimeanzisha kozi mpya katika ngazi ya DIPLOMA katika mwaka wa masomo wa 2014/2015. Kozi hizo ni :- 1.Food science and Technology...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naweza kupata Wapi taarifa ya tume ya Makweta ya Makweta1982?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ninatafuta chuo cha afya/Clinical medicine cha private.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu, ambaye anafahamu namna ya kupata scholarship za Russia kupitia hii kitu inayoitwa RACUS anipe details hasa kwa scholarship za Masters of MEDICINE/ DENTISTRY. Na guarantee...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
anaye fahama chuo kinachotoa kozi/mafunzo ya bodyguard afrika mashariki
0 Reactions
0 Replies
2K Views
anaye fahamu ni chuo gani kitoa kozi/mafunzo ya bodyguard kwa afrika mashariki naombeni msaada kwa ilo kama unajua
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina apply kwenda form v July hii. Moja ya nyaraka inayohitajika na shule niliyoapply ni results slip. Sina mawasiliano ya haraka na shule niliyosoma o level ili kujua kama results slip zimewasili...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
NDUGU ZANGU NAPENDA KUSHARE NANYI LINK AMBAYOINA FULSA YA KUPATA SCHOLARSHIP AU KUSOMA FREE ONLINE LINK HYO NI HAPA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
samahani kuna mdogo angu anataka kusoma HIV counseling and guidance kwa yeyote mwenye uelewa na hii kitu soko lake la ajira na mengineyo tafadhali msaada.
0 Reactions
1 Replies
995 Views
nisieleweke vibaya na wala sibezi watu waliochukua masomo ya arts ila inapaswa kutoa msukumo mkubwa kwa masomo ya sayansi kama tunataka kuendelea kwenye fani ya sayansi. MWISHO WA HOJA YANGU...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
UDSM hadi sasa kwenye akaunti zetu hatujawekewa hela za kujikimu , japo tayari wengine tulishasaini toka tarehe 5 March, 2014; na Ratiba ya Masomo kwa muhula wa pili imeanza tarehe 8 March...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mpaka jana jioni,hakukua na muafaka kati ya uongozi wa chuo na wawakilish wa DARUSO kuhusu suala la kusign mkopo... Uongozi umeendelea kusisitiza kwamba,lazima kila mtu awe na valid ID na wakati...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Mimi ni mwalimu idara ya msingi nipo halmashauri ya sengerema mwanza kwa anayetaka kuja mi niende mbulu tuwasiliane kwa phone 0684 223372 Au 0765 200735 nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…