Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kujua ada ya Chuo kikuu huria kwa degree ya kwanza na foundation course. OFC
0 Reactions
2 Replies
2K Views
UONGOZI WA VYUO VIKUU NA VYUO VYA UALIMU TANZANIA, VIKISHILIKIANA NA WAHITIMU WOTE WA NGAZI YA CHETI, STASHAHADA, NA SHAHADA PAMOJA NA WAZIRI KIVULI WA ELIMU: Wanatangaza maandamano makubwa nchi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jaman naomben kujuzwa ukipata ngapi unachukuliwa kwenda kidato cha tano(shule za serikari) na vyuo vya ualimu?
0 Reactions
57 Replies
27K Views
habariu wadau.naombeni msaada hivi masters ya med.apps ya open ni iko poa,iko marketable
0 Reactions
1 Replies
853 Views
mwenye kujua shule zenye kufundisha vizuri katika jiji la Mwanza kwa O level na A level sababu mi si mwenyeji wa mwanza so anayejua naomba aniambie kwa kunitajia shule izo za secondary.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Haya wakuu, nauliza matokeo ya NECTA ya watoto wetu wa kidato cha pili mwaka 2013, yanatoka lini? Naomba anayefahamu atupe majibu hapa, maana ninasubiri kwa hamu sana.
1 Reactions
45 Replies
300K Views
Habari zenu wenzangu; na kuwashirikisha watanzania wenzangu, wanaoujua kiingereza cha kuandika, na wanajua kutumia Computer,Tablet au hata smart phone,na wana access ya internet, ikiwa...
1 Reactions
0 Replies
977 Views
hivi aliepata div III mwaka 2010 na kushuka anaweza kuwa na akili sawa na aliepata div III mwaka 2011-2013???
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mtu anefahamu, vyuo vilivyopo Arusha mjini vyenye hostel,vinavyotoa course ya early childhood care au nursery teaching,, please anisaidie,,
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Nauliza Kwa Kuwa Mh Shule Zenyewe Hazina Walimu Wa Kutosha, Madawati Hayatoshi, Hakuna Maabara Wala Maktaba, Walimu Wanalipwa Ujira Mdogo Na Hakuna Nyumba Za Walimu. Mi Kwanza Nafikiri Mafisadi Wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipeni ushauri ndugu zangu nimechanganyikiwa jamani
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Njoooni huku tuzungumze ya kwetu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka 1967elimu ya kujitegemea ilianza,na tujadili hadi elimu ya miaka hadi 2005,je ipi ni elimu bora na iletayo maendeleo ukilinganisha na elimu ya leo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
mtakumbuka kuwa mheshimiwa naibu waziri wa fedha mwaka jana aliisifia serikali kupita kiasi kuwa inachapa kazi kwa kile kilichoitwa kustandardize matokeo. Leo hii ona matokeo ya wanafunzi...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wadau hivi credit za advance sahizi zimekaa vp? je ni D, C, B or B+ msaada jamani watu wanataka wasome tuisheni but big result bado haieleweki kwa wengi
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Habari zenu wadau Ukiachilia mbali kasoro mbalimbali za matokeo ya kidato cha nne,ambazo binafsi sizishangai sana maana elimu ya sasa nchini kwetu imekuwa ni siasa. Binafsi swala kubwa...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza kwa kufanya vizuri katika matokeo yenu yaliyotangazwa jana.hongereni sana. Pili napenda kutoa ushauri wangu wa hiari kwenu juu ya mambo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wa JF nachelea kusema kusema kuwa NECTA wameturudisha kulekule mwaka 2012.Namaanisha kuwa kuna watoto wamepata point zinalofanana lakini wanatofautiana daraja yaani DIVISION Mfano katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamvi. Naomba kwanza nieleweke kuwa naandika haya kwa nia njema. Ukifuatilia shule nyingi chini ya mwamvuli wa dini ya kiislam hazifanyi vizuri. Naomba tujadili ni ni kikwazo ili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, Dk. Charles Msonde, akitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT), Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Naibu Katibu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…