Kwa mujibu wa ripoti ya Webometrics ni kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam kimeporomoka katika Rank zake zilizotolewa hivi karibuni. katika rank hizo chuo cha Udom kimeingia kwa mara ya kwanza na...
Hivi wana janvi kwanini chuo kikuu cha Dodoma huwa wahadhiri wake hawatoi maoni kuhusu mambo mbali mbali yanayotokea kwenye jamii?. Kuna maprofesa wengi, madokta wengi na hata wenye masters wengi...
Wametangaza kuwa ufaulu umeongezeka kutoka 43% ya mwaka jana hadi 88%. Lakini hili ni changa la macho, hali ni ile ile. Ngojeni nikuonesheni walichofanya.
Wamechomeka grades nyingine katikati...
Tanzania's University of Dodoma (UDOM) will soon start making software which is to be used for Microsoft platforms such as Windows as well as Nokia mobile phones, an official said on Sunday...
Habari siku hii mpya walungwana, mwenzenu nimepata kigugumizi ktk matokeo ya shukumulu system, Kuna dogo kaandikiwa division IV ya 38 sasa daa sijaelewa kabisaaa, nilipotaka nichek kwingine...
Kuna ndugu yangu kaniomba ushauri amepata nafasi ya URATIBU ELIMU KATA, kwa sasa ni mwalimu wa sekondari anauliza je kazi iyo inalipa, na vp kuhusu mshahara wake, nikaona nililete kwa wadau kabla...
hivi haya matokeo si ni ubabaishaji.eti division 3 ya 31.wakati mwaka wangu ilikuwa 4 tena home dingi anakuzingua na wanafamilia wanakunyanyasa kwa mda.leo limtu lina 3 ya 30 linalinga sana.sasa...
Waungwana huyu jamaa vp,mbona cmuelewi yaan madogo wamemaliza juzi tu wakati tunawaona leo matokeo yao yanatoka.tuspochukua hatua unaweza ckia mpaka post zao zinatoka ss bado tunaendelea kusota...
Wana Bodi,
Naomba mnisaidie pengine kunielewesha kwa wale wenye taarifa sahihi kama ule utaratibu wa madaraja wa wa mpaka DIVISION V ndiyo umetumika kwama matokeo ya kidato cha nne 2013/2014 ila...
Mwanangu alimalizia shule ya sekondali ngw'anza lakini , matokeo yake hayaonekani
tafadhari mwenye namba yake ya mtihani ni 14, ameandikiwa hivi *E ... basi
please mwenye kujua naomba...
Japo kwa chini chini lakini wote twajua kuwa wanafunzi wa kidato cha nne wanaosubiri matokeo mioyo na roho zao zipo juu pindi wasikiapo neno 'matokeo'hata kama ni ya mpira, roho huruka.Binafsi...
Kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia kutoka kwa wakuu wa shule waliokuwa na kikao na Naibu waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi hapo juzi Mkoani Iringa, mhe. Jennista Muhagama naibu wa...