Msaada tafadhari,mi ni mwanafunzi nahitaji nijiamini katika masomo yangu ili nifanye vizuri
mara nyingi huwa najawa na hofu na kujiona nishafeli ninapomuona mtu kasoma topic ambayo mi sijasoma...
Jaman kwa yeyote anayejua chuo kinachofundisha udereva wa construction machine like caterpillar naomba anielekeze then sio mbaya kama ataniambia,ada,muda wa mafunzo,na mawasiliano ya chuo...
wakuu naombeni mnijuze ni chuo gaani hapa nchini naweza kusomea stashahada ya uzamili (postgraduate diploma) kati ya fani zifuatazo; biochemistry, molecular biology/ biotechnology au anatomy...
Habar bandugu? nimependa kujadiliana nanyi wanafunz kuhusu hii, inawabidi kusoma kwa bidii sn ili kufikia malengo, yaani 2lio kwenye ajira tu maisha yanabana! asa wasio na ajira je...
Wadau wa elimu asaalam aleikum! Tumsifu Yesu Kristo!
Nimebahatisha kuona matokea ya kidato cha 4 mwaka 2013 kuna mwanafunzi kapata alama 7 katika masomo yake ya kidato cha 4.kama ifuatavyo...
wakati idadi ya ufaulu wa wanafunzi kuingia kidato cha kwanza kuongezeka inashangaza kuona baadhi ya watoto kutojiunga na masomo hayo kwa awamu ya kwanza kwa kicngizio cha uhaba wa madarasa,na...
Hi,
Happy new year to all. This is my new year 2014 present. if it does reflect you then your friend or relatives or even colleague.
SCHOLARSHIPS AVAILABLE FOR TANZANIANS 2014/15 ACADEMIC YEAR...
Wana Jamvi, Ni karibu miezi miwili imepita sasa tangia matokeo ya mtihani wa darasa la saba yalipotolewa. Hivi tunakaribia kuingia January lakini Wizara ya Elimu bado haijawapangia shule wanafunzi...
Maoni ya Katuni
Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) juzi imetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba kwa watahiniwa waliomaliza elimu ya msingi mwaka huu...
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.
KWA UFUPI
WASICHANA WAPASUA, WALIOPATA ALAMA ‘D' NAO WAENDA SEKONDARI
Beatrice Moses na Ibrahim Yamola
SERIKALI imetangaza...
Hii kwa wote bt kuna dada yangu kasomea certifite ya nurseng katika chuo kimoja cha privety na kashapata vyety vyake vya nurseng lakin ana kama mwaka yuko nyumbani hajabahatika kupata tempo wala...
1 University of South Africa
South Africa
2 University of Cape Town
South Africa
3 Universiteit Stellenbosch
South Africa
4 University of Dar es Salaam
Tanzania...
Katika hali isiyo ya kawaida, shule moja wilayani Bagamoyo imekutwa ikiwa na mwalimu mmoja tu anayefundisha wanafunzi kuanzia chekechea hadi darasa la saba, wote wakifundishwa katika chumba...
Jamani hivi inawezekana kweli bodi mpaka sasa hawajatoa pesa ya awamu ya kwanza kwa wale tulio batch ya tatu? Maana hapa tangu nije nimeishia kupeleka detail tu, wala sijasain pesa. Dah Must chuo...