Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Below is a list of scholarships that may be useful to you Enjoy them and feel free to ask for Information and i will help to the best of my knowledge. 2014 Fraser Institute International Essay...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Heshima mbele GT's! Kuna jamaa yangu kapata admission offer kusoma PhD in Education huko Bondeni kwa Late Madiba - UWC. Bahati mbaya chuo hiki hawana Scholarship kwa International Students. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam Wanajamvi! Wengi wetu tulitumia na tunaendelea kutumia hizi Memory-Aiding Devices (mnemonics) kwa ajili ya kusaidia kukumbuka haraka long lists of numbers or objects in the correct...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Habarin wana jukwaa, naomba kuuliza, niliwahi kuchaguliwa 2010 kujiunga na chuo cha ifm na mkopo nilipata kwa bahat mbaya nikawa nasumbuliwa kiafya so nikashindwa kwenda chuon na wala sikutoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu naomba majbu ya mambo haya, 1.mtu aliyesoma PCB anaweza kuchaguliwa kusoma engineering kama civil,mining,chemical ,software,computer na IT.? 2.Aliyesoma CBG au CBA anaweza somea doctor...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Nikiwa nimejiunga UDSM mwaka huu kwa ajili ya kuongeza Elimu toka nimeingia hapa mtu ukibanwa na haja inabidi ujifikirie mara mbili ama uende porini (Hasa Pori lile la Kuelekea Changanyikeni au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu, Nimeishuhudia hii katika vyombo vya habari viongozi wakikabidhi bendera ya Taifa kwa vijana wa 'The Tanzanite', wanaotegemewa kusafiri leo kwenda kwa hayati mzee Madiba kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba kujua fee structure ya UDSM. Je degree ya kwanza ada sh.ngapi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Kwanini samaki anaweza kupumua akiwa ndani ya maji, lakini nchi kavu anakufa? 2. Oksijeni inaingiaje ndani ya maji na hali ya kuwa oksijeni ni nyepesi kuliko maji? (density ya oksijeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hiv kwa mtu anayeanza ajira ya ualimu kwa level ya degree anauwezo wa kuchukua mkopo benk baada ya mda gani na kiwango cha mwisho anachotakiwa kupewa mkopo ni sh ngap?Ukilinganisha na mshahara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepewa swali hili, "With the help of examples, give an account on the introduction of laws to prevent forms from exploiting people’s ignorance in Tanzania." Any ideas!?
0 Reactions
0 Replies
679 Views
x-pired
0 Reactions
2 Replies
899 Views
Ifm
NA Ifm ln jaman loan????
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0786211333 msg zote zitajibiwa,
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili poleni,ndugu walimu hebu nijuzenu topics za Geography form Four ni zipi? Na History ni zipi?Naomba mwenye syllabus za masomo hayo aniorodheshee Tafadhari. Mungu awabariki.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wana jf kuna kituko nimekutana nacho leo hii ingefaa mnijuze kama na nyie mnakutana nacho na pia tushauriane kuhusu dawa ya jambo husika. Ishu ni kuwa mwanangu anasoma darasa la pili shule binafsi...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Ndg wana jf niko hapa kujaribu kuwashauri kama mna ndg wanaotarajia kuingia chuo wasijaribu wala kuthubutu kujaribu ku apply Chuo Kikuu Cha Iringa zamani TUMAINI,sababu ni chuo kilichoweka PESAa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Welcome to the Cyberoam Web Client Portal! Cyberoam Captive Portal Username Password Click here for User My Account...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninapenda sana kujifunza mambo ya Muziki hivyo naomba msaada wa kupata Vitabu na material ya muziki hasa ya kiswahili kwani ya kiingereza ninayo mengi
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimejaribu kujaza upya form ya kukata rufaa maombi ya mkopo-HESLB,ajabu personal information zinakuja lakini sipati 'option' ya kuniruhusu kujaza maelezo mengine kama ilivyoelekezwa ktk tangazo la...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom