Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

TAHLISO sasa imepata mtu mchapakazi.kijana huyu ambae ni rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu Bugando CUHASSO. Ameonesha uwezo mzuri wa kuongoza na kutetea maslahi ya wanafunzi muda mfupi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakat nasoma chuo kikuu kimojawapo hapa nchini niligundua kuwa wengi wa wahitimu hupata GPA kali (za madesa) bila kuwa na utalaam wa kiwango husika kivitendo kama ambavyo wengi wao wamekuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mimi mwalimu ndo nimetoka chuo nasubiri ajira ila kitaa kumechosha mbaya. Mwenye tetesi juu ya lini ajira zitatangazwa na wizara ya elimu jamani anijuze.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Bei Nzuri
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima Zenu enyi wadau wa elimu na JF kwa ujumla. Naomba contacts (simu/email) za shule zifuatazo; 1. Kizuka Secondary School-Morogoro. 2. Olaleni Secondary School-Kilimanjaro. 3. Cagliero...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
wajumbe salamu kwenu. nina mdogo wangu ambae ameitimu elimu ya A.level nchini Uganda mwaka huu.sasa mimi kama kaka yake ninapenda apate elimu yake ya juu nchini. sasa ninaomba msaada kwa...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Karibun saana SUA tunasoma bila matatizo.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ningependa kufahamu ikiwa nitaweza kuyapata matokeo ya darasa la saba ya mwaka 2005.Naombeni msaada jinsi ya kuyapata
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Wadau kwanza za saa hizi natumai niwazima.NINAMASHAKA KIDOGO KWA UPANDE WANGU KUHUSU CHUO nachosomea mambo ya INFORMATION TECHNOLOGY AND ENGEENERING _naombeni mnisaidie JINSI gani naweza kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni karibia wiki y pili sasa ipite tangu tulipopashwa kupewa hilo boom .Ofisi ya loan board hapa chuo eti wametumiwa majina lkn bank pesa bado.Vyuo jirani tulivyotangulia kufungua semister wamepata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za jioni wadau wa jf, naomba kufahamishwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya it ngazi ya cheti na stashahada. Nitafurahi mkinitajia vyuo vilivyo kanda ya ziwa na gharama za hizo couse kama hamtojali.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau anayefahamu link yenye hii kitu. Iwe africa au nje ya africa.my dream ni kusoma hii kitu. Let me know wadau
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanzoni wakati ninapangwa kuja kusoma hiki chuo nilijiona mwenye thamani sana ila cha ajabu sasa hivi ninatamani kukihama chuo! Jamani .....sio wote ambao tunasoma KAMPALA kwetu ni mambo safi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
....... When silence is broken.....!!!!!!!!!!! A FAREWELL NOTE: “All the world’s a stage, and all the men and women merely players: they have theirs exits and entrances; and one man in his...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Bandugu zangu habari za weekend? Naomba msaada wenu katika hili, kuna mwanaSAUT alipata mkopo na kama ilivyo utaratibu wa sasa boom hutolewa kwa awamu,awamu ya kwanza alisign na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kusoma na Kujiridhisha na utaalamu wangu kuhusu Mambo ya Kiuhasibu na Ukaguzi wa Mahesabu,Nimeamua kuanzisha AUDITING FIRM.Naomba kujuzwa ni Kifungu gani cha Sheria kinachohitaji niwe na...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwa watu wadadisi wa mambo wa maendeleo ya Sayansi na Uhandisi wanasema "Nanotechnology" ndo taaluma ya juu kabisa kwa wakati huu duniani. Imeweza kubadiri sura ya tafiti za dunia ya kwanza na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF Leo kupitia vyombo vya habari ikiwemo clouds fm wamedokeza matokeo ya tume iliyoundwa na Waziri mkuu kuhusu matokeo mabaya ya kidato cha nne. Baadhi ya mapungufu yaliyobainishwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
International Organization for Standardization, The Layers Think of the seven layers as the assembly line in the computer. At each layer, certain things happen to the data that prepare it for the...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomb msaada hapa kati ya mkadiriaji gharama za ujenzi n watu wa mipango miji ni wapi wanalipwa vzuri n je vp soko la ajira n kujiari n mwsho mazingara ya kazi(uzur)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom