Katika hali inayoonyesha serikali ya ccm haina huruma na wananchi bali wanajijali wao tu ni pale mwanafunzi anakidhi vigezo vya kupata mkopo elimu ya juu na kunyimwa. Ki ukweli asilimia kubwa ya...
Wakuu,
Samahanini sana kama niko sana nyuma litaarifa, ila kuna hili suala la kushushwa kwa viwango vya ufaulu, naamini wengi tulilisikia na kulifuatilia kwa karibu na kuliewewa, isipokua wengi...
Habari wana JF, Business as usual..
Nauza Vitabu kama ifuatavyo.
Economics
Econometria - Gujarati - Basic Econometrics
Economics - Principles and Applications (2nd Edition)
Entertainment Industry...
wana jf. Nipo hapa katika chuo kikuu cha kumbukumbu ya sebastian kolowa (sekomu), leo kuna mahafali ya kwanza ya chuo tangu kuwa fully fledge university toka tuma makumira cha kushangaza...
Ni miezi michache tu baada ya serikali kuingiza slogan ya Big result now (matokeo makubwa sasa) ktk ofisi zake za umma.
Na sasa wameamua kuingiza ktk upande wa elimu ili kuondoa tatizo la...
Ni chuo kipya na bora kabisa,kinachotoa digrii ya (i)medicine (ii)nursing....,location:maswa-simiyu kama unaelekea lalago..!wahi sasa.nafasi ni chache,vigezo:kama wewe ni form iv uwe na A/B-kwa...
Hell below is a list of scholarships that may be useful to You! Enjoy the opportunities.
Full Scholarships in UK for Students from African and Developing Countries
Australian Awards...
Nipo hapa na watoto wa shule za kata, darasa la 4, mmoja anasimulia mkasa wa nyoka mrefu, anasema ana urefu wa siku moja, mwenzao mmoja akawa haelewi ndo urefu gani huo, akaambiwa kama sasa hivi...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu nasoma community development
Naomba msaada kwa wana jamvi wenzangu juu ya tittle ya research ya kufanya...naomba kusaidiwa current issues ambazo zita niongoza...
Jamani JF nomba msaada kwa anyejua programming in c++. kuandika c++ code ambayo itatafuta all repated subsequence in a string once is found the subsequence will be replaced by zero,length of...
Hatimaye wanafunzi wa st.joseph university in tanzania dsm mwaka wa kwanza education wamegoma kuingia darasani kisa mpaka sasa hawajapewa boom la kwanza principal aweweseka na kuwaomba samahani...
jaman hv matokeo ya form four yanatoka ln jaman?maana naona na uku nyumban nshachoka kukaa!au na ningepata kaz ata kwenye campuni yakusukuma huu mda uliobaki ningefurai xana..nisaidien wana jamvi...
Leo nilikuwa benki nikimwekea ada ya mwanangu wa kwanza, anayesoma darasa la pili shule fulani ya kimataifa Dar. Nikiwa ninahangaika na mstari mrefu wa benki nikafikiria mambo mengi niliyokumbana...
Chuo kikuu cha St Augustine emeonyesha kuwa ni moja yapo ya chuo inaongozwa na viongozi wazembe sana. Tokea Dr Kitima ameondoka mwaka huu chuo inaonekane imepwaya sana na cha ajabu, mfano mzuri ni...
Habari za mihangaiko ya kila siku...mimi nina degree ya sociology..mwaka wa 3 natafta kazi sijapata na nimeamua kujiajiri kimtindo japo mambo yana enda kwa kusua sua..sasa nilikua naplan za za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.