Ninashindwa kuelewa haya mambo yanayotokea katika SECTOR MUHIMU kabisa ya elimu yana lengo gani.
Hivi karibuni Wizara ilitangaza alama mpya na mpaka ikafika kipindi kukawa na maelewano hafifu...
Nchi hii imekuwa ya majaribio maana kila anayeingia katika wadhifa fulani anajitahidi kufuta/kurekebisha ya mwenzake ili kuleta mfumo mpya bila kujali athari zake kwa jamii na hii inatokana na...
Leo tarehe 4/11/2013 naanza mitihani ya kidato cha nne, leo ntaanza na Geography saa 2:00 asubhi na baadae English saa 8:00 mchana. Maombi yako ni muhimu sana!
Kwaheri div 0 karibu div5! Best wishes kwa members wote mnaofanya national exams kesho. Hope allah atawakumbusha mliyosoma toka form one. Na wale mnaotafuta credit hope this time mtapata tu...
Je wakumbuka Swali, Kazi, Jibu?? Na je siku hizi kuna kitu cha namna hiyo?? Elimu zamani bana si sasa hivi!
Mfano: Swali: Gawanya 1,550 kwa 5 kwa njia ndefu...
Habarini za wakati huu wadau wa ili jukwaa?
Hivi kwaninini kila waziri anayechuku wizara ya elimu lazima aje na kitu chake cha kushangaza jamii? Je, hii inatokana na kukosekana kwa dira madhubuti...
nilikua hapa mitaa ya shule moja ya secondary,nimeona gari nne landcruiser zimeleta mitihani nkajiuliza kuna haja gani kuchoma mafuta kwa gari nne kisa mitihani? Hii inji tutaendelea kua masikini...
JAMANI Eeeegh mimi nataka kuwa mwanachama natokea Diploma naombeni mnipe maelekezo kuanzia siku najiunga mpaka siku nachukuwa cheti maana sijui chochote ila naomba msiniambie niende ofisini kwao...
Sijui hili taifa linaelekea wapi.. Kila kitu
kinaendeshwa kisiasa!. Basi hadi elimu jamani??
Wakubwa katika wizara husika nahisi
hawawajibiki kivitendo hasa katika kuiboresha
elemu ila wapo...
Ndugu wasomi wa nchi hii embu tutafakari leo na kushirikishana kuhusu suala la nchi yetu kujiingiza katika vita mbalimbali. Je bajeti ya nchi yetu inatosha mpaka kupeleka majeshi katka kila nchi...
Nilipata nafasi ya kupita kuangalia chuo cha mafunzo cha Swissport pale Nyerere Road kwa ajili ya mwanangu anayemaliza chuo mwaka huu - nilishangaa kuona madarasa ya kisasa yenye viyoyozi...
hii kozi ni possible kwa mtu aliyesoma comb ya hge kusoma au ni kozi gani zipo pale sua ambazo mtu aliyesoma comb ya hge anaweza kuapply na kuzisoma,nawasilisha wakuu
salamu ndugu, mwenzenu natafuta compani ya kusoma nayo course ya postgraduate diploma ya education. kama mpo tuwasiliane tafadhali, si mnajua tena umoja ni nguvu? hivi kuna chuo kinatoa full time...
Hebu tazameni dunia ilivyo na vituko! kila mtu akishapata chansi basi anajitahidi kufunga mlango kuzuia wengine ili wasifanikiwe kama yeye!.tutazame lengo la viongozi wetu wa siasa waliojaa...
wana jf.kwa maoni yangu naona kushusha madaraja ya ufaulu kwa k4 na k6 si mpango mzuri kwa kuboresha elimu.ila ni juhudi ya kutafuta sifa na kuondoa aibu ya matokeo ya k4 na k6.kwa mpango huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.