Habari wadau. Naomba kufahamishwa namna ya kusoma vitabu kwenye mtandao au link ya kudownload vitabu vya masomo mbali hasa vya chuo, nimejaribu kusachi lakini vinakuja vya kulipia tena gharama...
habari zenu jamani. hivi 1st year wa computer science tunatakiwa kuripoti lini shuleni kwa ajili ya masomo. na pia tunatakiwa tukutane wapi. Na pia ratiba ni kivp kuhusu 1st day.
Thanks In Advance
Huu msemo unatumiwa sana MUCE,wakuu wa MUCE hasa watalaamu wa kiswahili,tutafutieni msemo mzuri ambao nikiutamka hautafikirika kwa fikira tata,binafsi haka kamsemo sikapendi.....
Nachukua nafasi hii kwa kuupongeza uongozi mpya wa Kwiro high school kwa kuweza kuwaondolea kero wanafunzi walizokuwa wanakabiliana nazo km kuboreshwa kwa miundombinu ya maji,mashine ya kupasua...
Leo nilienda Wizarani kufahamu kama Wizara imekuja na jibu lolote kuhusu kilio cha vijana makumi elfu ya watoto wa kimasikini bila kujua hatima yao na nikabaini kwamba Heslb, Wizara na Serikali...
kontena limeshuka,watoto wengi waliotakaga kwenda Bcom ila sababu ya non priority wamekuja hapo AEA na division one zao kali na two kama mwaka jana pale AEA kulikuwa na one na two tu.....raia ni...
Ikiwa zimebaki wiki chache vijana wa kidato cha nne kufanya mitihani ya form 4
akiongea katibu wa balaza la mitihani ukitofautisha miaka ya 2000 hadi 2013 idadi ya vijana wa mitihani ya...
Jaman wana JF kuna mateso ninayopata katka kupata hii elimu yangu yan kila mwaka mpya wa masomo unapoanza huwa jina langu harirudi kwa ajili yakuonyesha loans allocation mpaka nipambane sana mwaka...
Wakuu jamvini kuna mdogo wangu 1st year amepata mkopo lakini jina lake halionekani kwenye orodha ya majina yaliyotumwa kwenye chuo chake amejaribu kufuatilia ofisi ya mikopo chuoni hapo akaambiwa...
Msaada kwa yeyote anayejua au anayeweza kunijulisha kuhusu ni jinsi gani nawezapata materials/madesa kwa kozi ya Postigraduate Diploma ya Education, maana ntasoma kwa njia ya distance.
kama unasoma vyuo hivi au umechaguliwa kudisco...ni kitu cha kawaida usipokuwa makini unaweza hata usimalize chuo.......
1. Sua
2.muhimbili
3. D.i.t
4. Kcmc na bugando
5. Udsm..
6.mzumbe...
A science professor begins his school year with a lecture to the students, 'Let me explain the problem science has with religion.' The atheist professor of philosophy pauses before his class and...
Salam wana jf,
mimi ni mwanafunzi wa chuo tajwa hapo juu mwaka wa pili kwenye fani ya CIVIL ENGINEERING (B.ENG.CIVIL) malengo yangu makubwa ni kuhakikisha ndani ya hii miaka minne ( course...
i wrote a letter 4 postponment last year at st.joseph thy ddnt gv a reg no. instead wanadai niwapatie admmission no. ili waniregiste, hivi admmision no inatolewa na chuo au inapatkania wp? cz...
Habari wadau. Nimeitwa kwenye interview ktk post ya Instructor kwenye moja ya chuo flani hivi. Naomba kujua je nikijiendeleza naweza kuwa nani kwenye sekta ya elimu ? GPA yangu ni 3.4
orientation inaendelea
yaliyojiri
wanaotaka kubadili cozi ruksa kama sio chaguo lako.
*Chuo hakina president amedisco .
*Tar 26 kuna paper la english
*jtatu tunaanza masomo
SUASO wamesema...