Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa anaejua kuhusu hostel Ardhi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Top 100 Universities and Colleges in Africa by the 4icu.org University Web Ranking 1 University of South Africa South Africa 2 University of Cape Town South Africa 3 Universiteit...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
wadau mnaofikilia kukaa geto ni bora ukawai nafasi mapema
0 Reactions
19 Replies
3K Views
habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
naomba mniangalie kama awamu hii wamenikumbuka....sabato njema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hivi mtu akiwa na phy C ,chem C ,bios D,math D ,je? kunauwezekano wa kusoma diploma ya afya
0 Reactions
5 Replies
926 Views
Yawezekana ulishawahi kufanya hivyo au kusikia toka wa wanaSayansi na wengineo! Ukweli nikuwa namba ya kiatu chako inaweza kukuambia umri wako! Sasa fanya hivi; 1. Andika namba ya kiatu...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
jamani mie nmechaguliwa kujiunga udom naomba anaeweza kunsaidia kudowload admission letter no.yangu s0208/0062/2005 jina jenifa hassan.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Iwapo nikibahatika kupewa nafasi ya kuonana na mh. Rais jk nitamshauri hv, mosi, avunje uongozi mzima wa helsb kwa sababu hauna tija nzuri kwa maendeleo ya elimu ya juu na unafanya kazi ya...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
kama umeandikiwa not secured jamani kesho saa 4 twendeni kwenye ofice za heslb ili kuonyesha kua hawajatutendea haki zetu mkopo kwa mwanafunzi wa chuo ni Lazima...!!! Kwa nini course ni priority...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Leo ni siku ya Walimu duniani ambayo inalekewa kila mwaka octoba 5,ambapo mwalimu wa Tanzania anachangamoto,karibuni Walimu kujifariji na kujipa moyo wakati huu ambapo mnaidai serikali ya Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu naomba ushauri kwa anae elewa vizuri hizi coz mbili Transport & logistic na procurement & logistic ipi coz nzuri zaidi yenye ajira ya haraka kwa ngazi ya degree hasa kwa mie...
0 Reactions
3 Replies
957 Views
basi tena mpaka mwakan,lakn jana nimejaza fomu wizarani. Ya malalamiko.Form Four Index-No : S****.0097.2010 Institution : UDSM(UDBS) Course : BOCA You were not allocated higher education...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Nilpata transfer frm TUDARCo-DUCE same course(BAED) bt loan nimekosa, wanasema Transfer inaweza kuwa 7bu, ni kweli wakuu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekuja ungana nanyi.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kwa wenye uelewa wa kozi ya logistic and transport management, anijuze katika upande wa market pamoja na sehemu ambazo mtu huyu anaweza kufanya kazi au kujiajiri. Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
msaada kwa wenye ufahamu pale udsm ivi kubadilisha course from geology to bcom ni lazima ufanye registration pale geology kwanza then mchakato wa kubadili uanze?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mie sielewi hivi vyumba vya chuo cha ISW Dar. vinatolewa muda gani. Maana hata chuo hakijafunguliwa vimejaa. Hii ni kutokana na maelezo ya wahusika tuliowakuta chuoni tulipoenda kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
habari ndugu zangu, Hivi bodi ya mikopo wanatoa mikopo kwa vyuo vya nje kama Uganda (e.g. Makerere), Kenya, Zambia nk. Tafadhari mwenye taarifa naomba anisaidie, ni kwa masters na PhD. Ahsante
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani kwa sisi tulio mikoani tunapata shida kujua nini kinaendelea kwa wale ambao hatujasecure loan 2013/14. Vp majibu ya wizarani?
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Back
Top Bottom