Nimechaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha afya CUHAS (BUGANDO) kusoma MD but hali ya kiuchumi nyumbani sio nzuri sana nimefanikiwa kupata michango kutoka kwa watu mbalimbali na baada ya kulipia...
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe...
tunaporipot chuoni lazima tuwe na vitu kama vile
1:chet cha kuzaliwa org
2:cheti cha form 4 org
3:passport size
4:kitambulisho chochote mf: bank,kupiga kula au leseni
5:result slip ya form 6...
Mwalimu mmoja wa shule ya sekondary Kiraracha mkoani kilimanjaro afumaniwa akiwa akiwa na mke wa headmaster huku headmaster akijua huyu ni mwalimu wake wa pekee ktk hesabu shuleni hapo. Aliamua...
Ni siku chache zimepita niliandika mada tajwa hapo juu. Nafsi imebidi nianze pole pole kuleta yaliyo bayana. Kwa leo naleta mambo kumi na tatu tu na kwa ufupi.
1. shule hii haina BODI YA SHULE...
Mheshimiwa Waziri wa Elimu, Dr.Shukuru Kawambwa., Mheshimiwa Waziri, ofisi ya waziri mkuu Tamisemi anayeshughulikia elimu,Kassim Majaliwa., Mheshimiwa waziri wa wizara ya maendeleo, jinsia na...
Hatimaye malalamiko ya wafanyakazi na wanafunzi wa chuo cha Mwalimu Nyerere (kivukoni) yamemfikia Rais Jakaya Kikwete. Habari kutoka Ikulu zinasema kuwa malalamiko hayo yameandikwa kwa mfumo wa...
ACCOMMODATION INFORMATION FOR NEW & CONTINUING STUDENTS
ACADEMIC YEAR 2013/2014
A: IFM HOSTELS
Hostel Name: Block C
Gender: Male
Capacity: 324 Students
Location: IFM Main Campus (Shaaban Robert...
Wanajamii nasikia kunachuo kikuu ambacho kinaendesha utaratibu wake kama seminary hapa Tz naomba kukijua ili mwakani nimpeleke manangu hii ni kutokana na vyuo vikuu vingi vimekuwa madangulo
habari wana jamvi.mimi ni mwalim wa sekondari wilaya kilosa.nina miaka minne kazini,na wenzangu wote tulioanza kazi mwaka mmoja,hatujapanda madaraja,na hakuna dalili yoyote ya kupandishwa...
Kama umechaguliwa kozi mining, mineral processing au petroleum engineering utasoma kozi moja iitwayo ENGINEERING DRAWING katika muhula wa kwanza hivyo utatakiwa kununua vifaa vya kuchorea (drawing...
Chagueni watu wachache kisha muwatume Loarns Board ili wakahakiki kama majibu ya loans officer wa chuo ni sahii. Huu ni mkataba ambao mmeingia na board na umethibitika pale board walipokubali...
I am an interdisciplinary researcher in the field of Natural resource Management especially the coastal ecosystems. I have extensive experience in quantitative and qualitative research...
kwa wale wote waliosoma DIT bachalor ya mechanical engineering nisaidieni mwongozo wa semester
ya kwanza ni masomo yapi mnaanza nayo pamoja na sylabus zake
Naomba kupewa mwanga kwenye haka kaswali.
WAWATU club is a non-govermental organization established on 1st apil 2010 by 20 founding members to deal with HIV/AIDS sensitization program.the club's...