Habari wadau. Naomba kufahamishwa mazingira ya chuo hiki cha Arusha university hasa malipo ya ada na michango na ulipaji wake kama ni kwa awamu ni % ngapi? ,lazima kukaa hostel? , chakula je...
Katika mabadiliko yaliyofanywa na rais kikwete kwa makatibu wakuu,hatimae neema yamuangukia aliyekuwa mtendaji mkuu wa tume ya vyuo vikuu ( TCU) Prof Sifuni mchome baada ya kuteuliwa kuwa katibu...
Jamani kuna rafiki yangu alijikuta amejaza course ambayo ipo open university,kimakosa.sasa anataka kubadilisha,je,iyo inawezekana kutumia muda huu,wanapofanya awa wa third round application?lakini...
eti mtu anajidai eti kachaguliwa uds,udom mara mzumbe na kuwaona wengine wanaokwenda kwenye vyuo vingine kama hawatapat elim bora kama yake,afu mbulula mwenyewe eti udsm BAED hajui kama akimaliz...
Tar 16...cbe waliachia mzigo...wakafuata mt meru university...bila kupoteza muda st joseph university...siku zikazid kwenda TIA...nao wakaona xo ishu wakatoa mzigo...bila kuchelewa jordan...
Kwa mtililiko huu tcu mwaka huu,tutafika mpaka ''call fourth selection''.majanga mwaka huu,agizo la mweshimiwa rais wadail wanafunz wengi coz,kuna mapunguvu mengi ususan wahadhiri,sasa sijui loan...
Wadau,jana TCU wamefungua system yao tayari kwa application ya round ya tatu.
Tukumbuke application ilifanyika kwa round ya kwanza,nafasi zikabaki,ikaja second round,na sasa ni ya tatu!
Kuna...
Ndugu zangu wana UDSM, kuna taarifa ambazo nimezithibitisha mwenyewe kwa mahijano na viongozi wa UDSM baada ya kuona tangazo lililobandikwa kwenye mbao nyingi za matangazo pale ud na kwenye...
JOINING INSTRUCTIONS FOR UNDERGRADUATE STUDENTS SELECTED TO JOIN SAUT MAIN CAMPUS MWANZA FOR THE 2013/2014 ACADEMIC YEAR, for more info visit saut.ac.tz
habari zenu wakubwa..!?
mi nashauri wadogo zangu wa mwaka wa kwanza wenye mipango ya kuhama chuo kwa sababu tu hawapendi course fulani ama mazingira na sababu nyinginezo, hili swala liko...