Kwa wale walioomba kujiunga na chuo hicho cha ITA ktk programs mbalimbali wanaweza kucheki majina yao kupitia web ya chuo ambayo ni ITA : INSTITUTE OF TAX ADMINISTRATION kutokana na tangazo la...
Jaman kwa mwalimu wa sekondari aliye mkoani Rukwa wilaya yoyote anayetaka kuhamia Mtwara nami nije Rukwa,shule niliyopo ipo mjini kabisa! aliye tayari tuwasiliane kwa pm
Habari watanzania mimi ni kijana wa miaka 20 nina advance diploma ya IT, nina wazo zuri la kukuza elimu na kuongeza ufaulu katka nchi yetu ninayo proposal tayari sema sima mtu wala kampuni ya...
Habari wakuu,vipi hiki chuo mbona kimya kuhusu waliochaguliwa kujiunga na hiki chuo kwa program ya Customs and Tax Management inakuwaje hii iko sawa au ndo hivyo ukilinganisha na Tax Management za...
wakuu naomben mnijuze kwa anayeifahamu hiyo program ikoje kiajira na mwenye ufaham kuhusu chuo hiki cha st john compus ya Dar mazingira yake na hali ya maisha kwa ujumla
Salam kwenu wakuu,
Ni msichana, alimaliza form 6 2010 combination ya CBG. Matokeo yake hayakuwa mazuri, alipata Div 4 ya 18 ( masomo yote alipata S). Anataka kujiunga na elimu ya juu (degree)...
Nimejaribu kutazama jina langu ktk waliokosea sijafanikiwa. Sijui ni device yangu au system. Please, nitazamieni, Juma Shabani. Kama wanaanzia jina la pili iwe Shabani Juma.
Msaada wenu wadau.
Kama ambavyo imeshatolewa post na muhusika mmoja hapa JF,hiyo ndio idadi sahihi ya wanaopaswa kufanya marekebisho hayo na nimepost baada ya kuona ka ubishani fulani hapa jamvini.
Heshima mbele wakuu,
nnahitaji print kazi yangu hapa,
lakin katika setup zangu kwenye kipengengele cha Header/Footer inagoma kupokea character zaidi ya 250,
wakati kuna kazi hapa ina character...