Naona matangazo ya kuongeza elimu, kazi n.k eti GPA sijui above 3.8, wengine 4.0 n.k n.k
Sasa swali langu je ni ya chuo gani? kwasababu kuna vyuo unaanza mpaka unamaliza hakuna mtu aliwahi...
Kiyosaki is best known for his book Rich Dad, Poor Dad. Kiyosaki followed with Rich Dad's CASHFLOW Quadrant and Rich Dad's Guide to Investing. He has now had at least a dozen books published...
Salaam to you all!
I would like to know, is it necessary to include where you schooled to your name?
Is your professional title part of your name?
Look at this:
Prof. D.O. Ruttabanzibwa...
Samahani wadau,baada ya cbe kutema madini kuna changes zozote kwenye "selection status" zenu zaidi ya kuwa processed?na wale wa cbe zenu kwasasa zikoje?nijuze tafadhali.....
Nimekutana na hiz notes za MA nikaona sio vibaya kushare...ziko poa sana mifano ya kutosha...ESp kwa wale mnaojiandaa na cpa module f..na wale wenye kimeo cha MA...kazi kwako
Wakuu huu mkakati wa big result naona ni kama mzaha kwa walimu kwani wanatakiwa kufanya kazi kubwa kwa ujira mdogo sana.
Walimu wanaitwa kwenye semina ya siku tano huku wakilipwa tshs 20000 kwa...
wadau habarini za asubuhi natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na weekend hii ndefu. Baada ya kumaliza degree yangu ya kwanza miaka mitatu iliyopita nimefikiria kuongeza degree ya pili ya...
Habari! wapendwa!
naomba mnifahamishe nna dev 3 ya 16 form 6 mwaka 2010 nikaenda college diploma ualimu nimemaliza mwaka huu nna pass ya 2.8
tatizo wananambia sitaweza ingia chuo kikuu...
KWA UFUPI
Aliondoka jana saa sita mchana na ndege ya Airforce One kuelekea Washington kupita Senegal.
Soma kwa makini sentensi zifuatazo na utoe maoni yako. Inawezekana ufafanuzi...
Nimemaliza O'level, mwaka jana ila nikakosa nafasi ya kuendelea na A'level. Hivyo nikaapply Wizara ya Afya bado nangojea majibu yao. Pamoja na kungojea majibu hayo napenda nipate sehemu nyingine(...
kwa wale wa udsm tarehe rasmi kwa ajili ya suplimentary ni Tarehe 16/09/2013 na sio tarehe 23/09/2013 kama almanac-udsm inavyoonyesha, kwa hiyo ndugu zangu tujipange kwa mashambulizi ya...
Tafadhali kwa mdau yeyote mwenye idea juu ya guidelines/policy katika kuanzisha na kuendesha shule za awali (kindergarten) hapa nchi anisaidie kunipa muongozo!
Wanajamii habari zenu, kuna mdau anatafuta matokeo ya mwaka 2002 amesahau namba yake ya mtihani, anaweza yapata wapi? Yuko mbali na shule aliyosomea, je akiingia mtandaoni anaweza kuyapata...
kuna tetesi kuwa ukiingia kwenye a/c yako ya CAS ukiangalia "view my selection status" kuna program code moja kati ya zile tano haijaandikiwa code yake bt inaonekana kati ya zile tano, xa may be...
Naomben msaada wa title za novels zenye good stories, ziwe in english, nikipata na location ya bookshops ambako zapatikana itakuwa wagada(njema), niko Dar for a while