Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu wanaJF na wadau wote. Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimepitia upya ada zake za masomo ya uzamili na uzamivu ambazo zinatumika kuanzia mwaka huu (2013/2014) wa masomo. Jambo la kushangaza ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
http://www.ziddu.com/download/8452060/bb5phoneunlock_v101_s60zip.zip.html
0 Reactions
0 Replies
672 Views
wanajamvi,naombeni msaada kwa yeyote aliyetayari kunisomesha form five na six ntashukuru sana kwani mpaka sasa nipo home lakini nilipata div 2.19 PCB please have mercy on me Samaritans
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Kuna sms inasambazwa inasema "karudie kurenew mkopo, mwisho tr 31 mwezi huu, mwanzoni mtandao ulikuwa unasumbua. Wajulishe na wengine" hivi hizi taarifa ni kweli? Mwenye uhakika naomba hatusaidie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Big result now without big salary now is the big problem now..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau,nawaomba Tujuzane Kwa Wale Wenye Experience,inawezekana Nkasoma Masomo Ya Kidato Cha Tano Na Sita Kwa Mwaka Mmoja Na Nkafaulu Vzur,kwa Alama Za Kujiunga Na Chuo Kikuu??km Inawezekana N Mbinu...
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Wakuu mambo vipi... Naombeni msaada wenu kwa aliye na contact za minja sec iliyoko Mwanga kilimanjaro . Nashkuru sana wakuu....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kuna ile ngos ilitoa nafasi za walimu mshahara mnono na laptop juu.mwenye detail anijuze
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Wajumbe nlikua naulizia kama kuna mtu yoyote aliomba Scholarship ya kwenda kusomea masters au PHD katika vyuo vya china kupitia wizara ya nishati na madini kwa tangazo lao walilolitoa mwezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo hii nimepokea taarifa kutoka kwa guys mbalimbali wanasema wanafunz wa awamu ya tatu wanapaswa waende jkt next wiki...asa nmekua sielew coz wanasema taarifa wamepata kutoka tbc fm....kama kuna...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Ndugu zangu, Kwa anayefahamu vizuri, utaratibu wa kufanya hii mitihani ya TOEFL(Test Of English As a Foreign Language) naomba anielekeze katika nukta hizi:- (i) Kwa hapa Tanzania vituo vya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hélo people of Tosamaganga.form v 2013,tujuane bass na tupeane detail
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndugu wa hili jukwaa . Tafadhalini tunawakaribisha katika ukurasa wa Elimu Yetu Tanzamia ili kupata michango yenu yenye kujenga na kuona ni jinsi gani tunaweza kufanya sekta yetu ya elimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye kujua chochote kuhusu hiyo shule aniambie.shukurani kwa wote.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajf naomba mwenye notes nzuri za classification anitupie humu niweze kujiandaa vema na paper wakuu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katuni Katika toleo letu la jana Julai 25 ukurasa wa tano tulichapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari ‘Wizara ya Elimu yahofia uchakachuaji kidato cha tatu. Katika habari hiyo Wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Naombeni msaada kwa anaejua anambie ni vitabu gani ambavyo natakiwa kuvisoma ili niweze kujua kiingereza? Najua kuna kwenda shule za English course lakini nahitaji hata ni kipata vile vitabu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana jf kuna huyu ndugu yangu ameingia form six mwaka huu bahati mbaya alikosa masomo kwa mda kadhaa kutokana na fedha na yupo private school japo alifaulu je ataweza vp kurudia tena form...
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Mm ni mhitmu wa kidato cha nne mwaka 2012 nkapata iv ya 30 baada ya marekebsho ikaja vlevle nna "D" za hstr,eng,kisw,geog na bios.Naomba ushaur nifanyeje
0 Reactions
6 Replies
769 Views
Duration: 4 days Dates: September 17 – 20, 2013 Price: 300,000 TZS (excluding lunch) Place: School of Social Sciences (MRL 4)-UDOM-Dodoma Full information can be obtained from attached pdf...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…