Jamani nina mdogo wangu kachaguliwa weruweru kwa anaeifahamu vizuri anisaidie contact number iliwawasiliane amuelekeze mambo kadhaa musaada jamani kuanzia sare na kilaki2 ahsanteni....
Wana Jamvi, nimekutana na hawa vijana wakimarekani wakifanya debate kwa Kiswahili. Kwa kweli inafurahisha na nina imani ndani ya miaka michache ijayo, Kiswahili kitakuwa kati ya lugha moja...
Jaman mwenye kujua anisaidie,,eti maweza pataje scholarship za masters,ndo nmemaliza chuo sina A wala be kwa hya mambo...naomba kusikilizwa tafadhari.....
Wakuu habari zenu, bila shaka mnajua kuwa serikali iliahidi kupunguza kodi kwa wafanyakazi, ingawa ni kidogo ningependa kujua CWT wao wanampango kama huo? Au ndio wanazidi kuwanyonya walimu?
UNAYOYAONA NI MARUDIO,NIMERUDI NIKIOMBA UNISAIDIE NIMALIZE MWAKA WA MWISHO. MUHULA WA KWANZA NI 350,000/: MAWASILIANO NI 0763631449 AU 0789958440
Mimi kwa majina ni Yusuph Peterson kama kuna...
Habarin Wadau,naomba Mnijuze,mm Ni Mwalimu Wa S/m Na Nna Div.three Ya Point 24,je kpi bora kuxoma advance then niendelee mbele au kupita ya mkato kwenda diploma kwa kutumia certificate?na je hzo...
jamani wana jf,tunawashukuru wale wote ambao kwa wakati wote wamekua wakitupa ushauri mzuri kuhusiana na masomo japo si wote tafadhari msituchoke, naomba mtu yeyote mwenye notes za pcb pamoja na...
Wasomi wa kod,i nielimishe kuhusu kodi za magari chakavu yanayoagizwa kutoka nje ya nchi mara yapoingia bandarini DSM kwa upande wa TRA na TPA hadi gari inaingia barabarani.Elimu hii itanisaidia...
Natanguliza shukrani kwenu wakuu,
Ninatafuta chuo/taasisi inayotoa elimu hiyo iwe ni ngazi ya post graduate au masters.
Kwa yeyote anayefaham anijuze tafadhari...!
Imetokea mwalimu anayekusimamia research yako yupo busy sana, na muda alioupata leo yupo kwenye kazi maalum hotel fulani kubwa mjini hivyo anakwambia umfuate hotel upeleke research yako...
Nimepata taarifa eti kuna baadh ya fomu za mikopo zimekosewa na hivyo zimerudishwa ili zirekebishwe! Swali langu ni je, hizo fomu zinarudishwa posta au ni majina yanatolewa? halaf nimejaribu...
Jamani nimepangiwa cbg kigonsera huko Ruvuma mi niko Dodoma naombeni msaada wenu kwa wanaifahamu hiyo shule kitaaluma,mazingira na anielekeze nitafika vp
Habarini wadau! ebana mimi naomba kujua baada ya six kutoka jeshini kwenda vyuoni itakuwa mwezi wa ngapi? je na kwa wale wa diploma wanaotaka kuunga watawasubiria six wamalize au? swali nalouliza...