Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna notes za HR nazihitaji kutoka mtandaoni.... Je naweza kupata kupitia link gan ....msaada wenu wanajamii! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
7 Replies
1K Views
vp hali ndugu , kujiunga chuo kwa cheti cha form 4 ni lazima uwe na pasi ya math ?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wale madogo mnaosubiria posts anzeni kujianda maana mnatakiwa shuleni tarehe tajwa hapo source;jikoni zinapopikwa posts.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa Wenye uzoefu!, Post za kwenda form 5 mpaka lini?
0 Reactions
2 Replies
873 Views
Wana jf natafuta chuo cha IT kinafundisha masomo ya jioni kwa bei nafuu.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jaman wanajamii hatua hizo ni zipi baada ya Kawambwa kutangaza matokeo ya frm 4???????
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu naombeni mnijuze juu ya hili kwa mtu anaejua, mm nina first degree ambayo sio education lkn nna mpango wa kusoma postgraduate ya education je naweza pata mkopo kutoka bodi ya mikopo? NB...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wakuu naomba mnijuze kwa wale mnaojua hiyo kozi iliyoandikwa juu ambayo inatolewa na open universty of tanzanzania je ukiwa diploMa YA KUTOKA OPEN Je utaweza kujiunga na suA KWA DIGRII ZA MIFUGO
0 Reactions
0 Replies
985 Views
wakuu naomba mnijuze kwa wale mnaojua hiyo kozi iliyoandikwa juu ambayo inatolewa na open universty of tanzanzania je ukiwa diploMa YA KUTOKA OPEN Je utaweza kujiunga na suA KWA KOZI ZA MIFUGO
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sua
All the best wakuu,UE njema
0 Reactions
1 Replies
886 Views
nawashangaa sana hawa wanaosubir post za kidato cha tana hawajui maisha ya kule ni ugal maharage mwanzo mwisho kwann wasiendelee kula bata kitaa maisha popote bwana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaendelea kusomesha vijana wanaoamini kujua kiingereza pekee ndio kuelimika! Ovyo kabisa..
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Nasikia watu wakisema kuna yes au no ktk profile zao lkn mie cjaona hivyo n makosa nimefanya au zaid naona not yet processed
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau wa elimu SALAMA ? Sina haja ya kuvilinganisha hivyo vyuo hata kidogo, lakini pana mwanafunzi wa Diploma accntng, anauliza, tunajua wazi kuwa kila kimoja chaweza kuwa bingwa kwenye nyanja...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani hizi taaluma za sheria yaani law ,engineering,medicine,accounting&finance ni ngumu kuliko nyingine mfano ni kwamba unapomaliza shahada ya kwanza ya sheria yaani llb unatakiwa uende tena...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nawashangaa xana hawa wanataka post za five..! Hawajui kule kuna mateso ya ugal beans au wamechoka kula bata kitaa..?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Get a Bachelor Degree Through 5 Years integrated Programme at St. Joseph University, check out sjuit.ac.tz for more info.
0 Reactions
0 Replies
895 Views
We do not need to be shoemakers to know if our shoes fit, and just as little have we any need to be professionals to acquire knowledge of matters of universal interest. Georg Wilhelm Friedrich Hegel
0 Reactions
0 Replies
661 Views
daa kwa asilimia kubwa,kuanzia tarehe 5 july hii shule nying za A LEVELS,znafnguliwa hususan kwa wale wanaoingia form 6, only, JE? kwa form 5,waendelee kula bhataaa na vjitwishen vya mtaaan mpaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…