Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wana Jf samahanini wa mjengo,naomba msaada kwa anayefahamu zaidi juu ya namna ya kujiunga na MZUMBE University kwa faculty ya Public Health Management ukiwa na kozi yoyote ya afya hasa kwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Binafsi nina maswali mengi sana najiuliza kichwani mwangu cpati majibu kwanza kabisa ni kuhusu matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 serikali imeamuru matokeo ya kidato cha nne yafutwe wakati...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
HABARI ZA LEO WANA JAMVI, Ni mara yangu ya kwanza kuja katika jukwaa hili la elimu hapa JF kuomba msaada, mm nimemaliza kidato cha nne mwaka 1996, nikabahatika kusoma IIT mambo ya Computer...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ni kweli hayo matokeo yatatangazwa kesho tar 29 ? Kuna ukweli wowote kuhusu hili
0 Reactions
62 Replies
19K Views
hivi wanangoja nini hawa wasituletee tu matokeo yetu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mwaka jana nilishangaa ilipoanzishwa comb wpya ya CBM. Nilishangaa kwa sababu zifuatazo; 1. Muhimbili hawataki mtu anbaye hajafaulu physics hivyo kusoma CBM kunakuondoa sekta ya afya 2...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Imedhihirika kuwa kuna sintofahamu nyingi katika balaza la mtihani la taifa kutokana na kutupiwa macho mengi na wanasiasa pamoja na wadau mbalimbali wa elimu. Hii ni sababu kubwa ya wao kuchelewa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
There is a Need Does school prepare children for the real world? "Study hard and get good grades and you will find a high-paying job with great benefits," my parents used to say. Their goal in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi matokeo wanayarekebisha sasa kwa wale ambao tulikua tunataka kuomba ualimu inakuaje? Maana tarehe 10/5 ndio ilikua mwisho wa kutuma maombi,mwenye uelewa naomba anijibu.asanteni!
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Katika kile ambacho kinaitwa standardazation ya results mwaka 2012-form 4,mimi naweza kuthubutu kusema kuwa wao ndio ambao wamekariri mtihani upya...baada ya serikali kutaka matokeo yapangwe na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Plz naombeni kujua hili
0 Reactions
1 Replies
840 Views
samahan wakuu,eti kapata alama zfuatazo Bam f,gs s,economics C,accounts B,commerce C .kwa advance na olevel civ c,math F,engl c,bio A,kisw c,hist d,geo C,commerc A,book keeping A.kama kafel hesabu...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
samahan wakuu,eti kapata alama zfuatazo Bam f,gs s,economics C,accounts B,commerce C .kwa advance na olevel civ c,math F,engl c,bio A,kisw c,hist d,geo C,commerc A,book keeping A.kama kafel hesabu...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Matokeo ya Kidato Cha sita waliomaliza mitihani yao mwezi februari mwaka huu,Yanatarajiwa kutolewa rasmi kesho kwa Mujibu wa taarifa zilizotufikia toka chanzo chetu cha habari Kutoka Baraza la...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kuna ukweli wowote kwamba matokeo yata tolewa wiki ijayo?? Wakuu mwenye tetesi naomba anijuze
0 Reactions
28 Replies
5K Views
chuo cha afya Bugando kuna watu wanasoma MD na a level alisoma CBG.....so inawezekana hii kitu... msaada wenu wana jF....
0 Reactions
27 Replies
4K Views
mimi nilimaliza form 4 mwaka jana na nlipata division 4 ya 31.. nlipata D 4 katika masomo ya History,civics,kiswahil na english.. sasa kaka/dada zangu naombeni ushauri wenu nkasomee kozi gani...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, kuna jamaa yangu alinunua vocha kwa ajili ya kuomba usajili TCU, ghafla amepata matatizo hivyo ameshindwa kutuma maombi, Tunaomba msaada kwa anayetaka KUTUMA maombi kupitia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello wanajamvi napiga hodi,naomba mnipokee.
0 Reactions
0 Replies
519 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…