Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa wale wenye info zaidi kuhusu kutorudiwa kwa matokeo na juu ya mgogoro uliopo kati ya necta na wizara kuhusu kutoendelea kwa kazi ya ku-upgrade tunaomba ushirikiano tafadhali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimetafakari na kuchunguza na mwisho nimebaini zifuatazo ni athari za uchakataji upya wa matokeo ya kidato cha IV 2012. Mosi Baraza la mitihani litatakiwa lirudishe gharama zote zilizotumika na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
SWALI KWA BUSINESS ADMINSTRATOR, FINANCE MANAGERS, CONSULTANTS, ACCOUNTANTS, ECONOMIST, Kampuni inafanya biashara ya trading(kuuza na kununua) iko kariakoo, mapato yake as per accounts ni...
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Toa Jibu Katika Hii Hesabu!!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani, nimeona tangazo somewhere kwamba maombi kwa ajili ya kujiunga na vyuo vikuu yameshaanza kutumwa kupitia kwenye website ya TCU. Lakini kinachonishangaza ni kwamba ni kama wiki sasa hiyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wasomi wenzangu naomba mnisaidie nasikia kuwa marks za A-level zimepandishwa na sina uhakika kama ni kweli.Grade zenyewe ni hizi hapa: 0-39=F 40-44=S 45-54=E 55-64=D 65-74=C 75-79=B 80-100=A
0 Reactions
27 Replies
16K Views
Baada ya kumalizika Mitihani ya CPA, Musasira ametangaza course ya IFRS kwa wadau Kama ifuatavyo: Dear Stakeholder, This is to inform you that, APT FINANCIAL CONSULTANTS will be conducting...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF, kwenye kampuni wetu tunadili na watu wa nchi nyingi tofauti tofauti lugha kubwa inayotumika ni kiingereza, nagombana na bosi kila siku kuhusu uongeaji wangu anadai sieleweki tatizo...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Nasikia masters za open university kwenye anga za kimataifa haitambuliki na haina soko. Hizo ni tetesi tuu mwenye more info atupie humu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jaman samahan naomba kufahamu et coz ya diploma of community development inaanza lini? Katika chuo cha st.john dodoma
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu wataalam mbalimbali naombeni mnisaidie notes juu ya tittle hiyo juu ili niandika propasal.Nitumiena hata pamphlets na vitabu mbalimbali vyenye natisi za vita ya Kagera. Natanguliza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Halmashauri (W) ya Bagamoyo pamoja na wadau wengine wa Wilaya ya Bagamoyo wanakazi kubwa katika kuinusuru elimu ya wilaya ya Bagamoyo ili isishuke. Kuna sababu nyingi zinazopelekea...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Pata short notes za masomo mbalimbali pamoja na links za site mbalimbali zenye manufaa kielimu.Vilevile humu unaweza ukafanya online discussions na wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hili jambo la ajabu sana kwa taasisi inayojinadi kwamba inatoa elimu fulani halafu inademonstrate kiwango kibovu kabisa kwenye taaluma hiyo hiyo. VETA wanaendesha kozi za Web Designing na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nd. Philemoni Luhanjo ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine. Hilo lilikuwa ni tangazo la makamu mkuu wa chuo hicho. Ni aibu kwa siasa za nchi hii na uongozi...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
ni jambo la kusikitisha na kuhuzunisha kuona elimu yetu ambayo ilijengewa misingi bora na imara sasa inaangamia. Ikumbukwe kuwa mwalimu julius kambarage aliifanya elimu ya tanzania kuonekana nzuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TAFAKARI KWA MAKINI Hawa ni wanafunzi wa shule mojawapo ya msingi hapa nchini Tanzania. Wanafunzi wamekaa sakafuni, je kwa mazingira haya tutafika kweli? Je watoto wetu watapenda kwenda shule...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
MADARAJA MAPYA KWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE: Serikali kwa kupitia wizara ya elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani ya kidato cha nne. Hapo awali, madaraja yalikuwa ni...
0 Reactions
58 Replies
13K Views
KWA MAANA UBORESHAJI WA ELIMU HAJABORESHA SASA WANAFIKIRI KUWA KIWANGO CHA ELIMU NCHINI KITAONGEZEKAAAAAAAAAA....???? HUU NI UMBULULAAA CJUITUNAELEKEA WAPI ITAFIKA KIPINDI NITA JIKANA MIM CIO...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…