Husika na kichwa cha habari.
Naomba kuuliza hv mwajiri wa walimu ni nani? Je ni TAMISEMI,?? MKURUGENZI WA HALMASHAURI? WIZARA YA ElIMU??? TSD(teachers servise department)?? Au Ofisi ya utumishi...
Wadau mtakumbuka mwezi Agosti. wakati wa bajeti ya Wizara ya Elimu Mh Waziri alimtambulisha kamishna mpya wa Wizara hiyo Prof Bhalalusesa, hivi huyu mama ameshaanza kazi rasmi na je katika hili la...
SHULE YA ITENDE SEKONDARI ILIYOPO MBEYA, INATANGAZA NAFASI ZA KUHAMIA KIDATO CHA 6, MWAKA WA MASOMO 2013/14-
ADA PUNGUFU SANA (KIDATO CHA 6 TU) SH. 250,000 KWA WANAFUNZI WA KUTWA
ADA YA KUTWA...
Nathubutu kusema kuwa matokeo ya kidato cha 4 yaliyotangazwa awali na NECTA kupitia kwa waziri wa elimu Dk. Kawambwa ndiyo matokeo sahihi kwa wanaopenda maendeleo ya elimu hapa nchini...
Wakati taifa linaelea juu juu kwa matokeo ya Kidato cha 4 ya mwaka 2012 nilitegemea Mwenyekiti huyu wa bodi ya NECTA aseme lolote but sijamsikia akiongea lolote au ndo bora liende? Wewe ni msomi...
kwa tetesi za haraka ila msininukuu kutoka mamlaka husika nayo pia yachakachuliwa tena kuongeza haja za wanasiasa kama kinachotokea kidato cha nne sasa.mwenye fununu hembu funguka
Habari za wakati huu.
Jaman me nimesoma communty development nmejarbu kwa uwezo wangu kulpa ada mpaka nmehtimu kiwango cha certificat.ila bado nmebakiza 250,000/=ambazo zmesababisha kunyimwa chet...
Kwa taarifa nilizopata kuna jamaa wanajiita Amana Global wapo maeneo ya makumbusho sokoni wana kiofisi ndani ya soko.Sasa kuna utapeli wanawafanyie vijana wetu wanaosoma chuo,hasa ardhi na...
My student asked me this question "Does the artificial satellite launched above the earth's surface for communication use fuel? If yes, how it is filled & after how long? if not how it engine work...
Yahusu pesa ya Special Faculty kwa mwaka wa pili na mwaka wa tatu. Inakuwaje pesa imeletwa chuoni tokea mwaka jana mwezi wa sita hadi sasa pesa ipo mikononi mwao. Na mwaka jana wakati wanafunzi...
wanajukwaa,mara nyingi nimeona watu mbalimbali wanapokwama katika jambo lolote hili jukwaa limekuwa msaada mkuwa sana na mimi pia ni shaidi ktk hilo,kwa mara nyingine naomba msaada au muongozo...
Wakuu naomba mnijuze shule za private mikoa ya kaskazini hususani mikoa ya ARUSHA KILiMANJARO naTANGA zenye mchepua wa pcb au cbg.naombeni mnijuze wakuu
<strong><span style="color:#000000;">Kutokana na kadhia na aibu kubwa ambayo Taaifa la Tanzania limeipata katika macho ya ulimwengu kwa kuutangazia umma kuwa zaidi ya wanafunzi wake waliohitimu...
Jamani wana jamvi, nahitaji tuition ya form six kwa masomo ya HGE hapa Dar es Salaam inapatikana wapi. Nahitaji kwa muhula huu wa likizo ya mwezi June.
Hivi kwanini tusijiulize swali dogo na jepesi kama hili "kwanini matokeo yachelewe kutoka mwaka huu???"Ni hivi kwanza kurudia upya kwa usahihishaji wa matokeo ya kidato cha nne na upangaji upya wa...