Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari Wakuu, Naomba msaada kwa yeyote anayejua chuo kizuri cha utalii kilichopo kwenye mkoa wowote kati ya hii, Dodoma, Iringa, Morogoro. Naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa taarifa tu,wadau wanasema mwaka huu masomo ya physics,english,mathematics ndio yaliofelisha zaid yakifuatiwa na accounts!na pia kwa wale wa geography katika paper 1 kama umejibu maswali ya...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wana jf,,,sina uelewa wowote kuhusu hili swala naomba mnisaidie kwa wanao fahamu,,,,nimemaliza diploma ya records management chuo cha tanzania public service college mwaka jana mwezi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
A 20-year-old Nigerian, Favour Odozor, has emerged as the youngest with the Commercial Pilot Licence (CPL) in both Nigeria and South Africa. Mr. Odozor who graduated alongside 15 other trained...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Anahitajika mwalimu wa sekondari anayetaka kuhamia manispaa ya morogoro,awe anatoka kati ya halmashauri zifuatazo Kinondoni,Temeke,Ilala,Kibaha mji au Mkuranga.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania tukiendelea kuwabeza na kuwakejeli walimu tusijute kuwa na taifa ambalo linashangilia dhambi ya umaskini,ujinga na maradhi.vilevile hatuwezi kujenga Taifa la watu welevu na wenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salut kwenu, wenye ujuzi na uelewa wa masuala ya ukuaji wa miji na majiji naombeni mnipanue uelewa juu ya sifa (universal qualifications) muhmu za mji kupewa hadhi ya jiji (city). Maana yake...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari wadau..... Ninaandaa pendekezo/muswada wa utafiti (research proposal) wenye kichwa kisemacho "NEGATIVE EMOTIONS ON CREATIVE THINKING AND ITS IMPACT IN SCHOOL LEARNING OF YOUNG CHILDREN"...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa elimu JF.....! Imekuwa ni kawaida pindi yatokapo matokeo ya kidato cha 4 huwa kunakuwa na mfululizo wa matangazo ya shule za private kwa wanafunzi wanaopenda kujiunga na kidato cha 5...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
great thinkers naombeni msaada wenu hivi Vocher no kwenye website ya TCU sehemu ya CAS inamaana gani ni namba zipi zinatakiwa pale
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa nafuatialia sana midahalo kuhusu elimu. nimepata wazo kuhusu hii proposal ya kiswahili kuwa ya kufundishia tangu darasa la kwanza mpaka chuo.wazo langu. wabongo hawapendi kuandika vitabu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana ama juzi kulikuwa na mjadala hapa jf kuhusu yanayojiri UDOM wakati huu ama ambayo yalishatokea. Nikiwa mjini Dodoma kawambwa (waziri wa Elimu) alipita nakuelekea UDOM mchana wa saa nane...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
heshima kwenu wanajf,kuna rafikiyangu nikonaye mwaka wa kwanza hapa st john's ANAOMA BAF na anataka mwaka wa 2 ahame kwenda mzumbe kusomea BAF je napenda kujua inawezekana? Kama inawezekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Husika na Title. Naomba ushauri wenu wadau' nahitaji kufahamu juu ya course hizo ipi nikasome?
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Wadau hivi DVD za tamthiliya ya NGOSWE,ORODHA.ZINAPATIKANA MADUKANI NA KWA BEI GANI?.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jm nimepata tetesi kuwa eti serikali imepandisha madaraja ya waalimu shahada kuanzana E,stashaha kuanza na D, na cheti C, jaman kuna ukweli hapa?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
I would like to know about African Mythology, in Swahili language Or let me know were to get a book of African myths in Swahili
0 Reactions
1 Replies
726 Views
Wadau kwa bahati nimetembelea vyuo vikuu kadhaa duniani but sijawahi kuona chuo chenye kukosa utaratibu kama pale UDSM fikiria ati kumeanzishwa Stendi kadhaa za Pikipiki a.k.a Bodaboda ndani ya...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Jamani wana Jf, naomba kujulishwa kwamba form ya mkopo inagarimu ela kiasi gani? yaani kuanzia kuiprint hadi kuituma, garama zake zote kwa ujumla ni kiasi gani? na garama hzo zinalipiwa wapi na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imefuta mitihani ya Trade Test kinyemela kinyume cha Sheria ya Bunge Na. 1 ya 1994 iliyounda Mamlaka hiyo. Mfumo wa Trade Test unatambuliwa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Back
Top Bottom