Nina vijana wangu mwezi ujao wanamaliza mtihani wao wa darasa la saba. wakimaliza tu mwezi wa 10 nataka waanze kusoma tuition mkoa wa Dsm kwenye masomo ya science ya form one ambayo ni...
Naomba njia ambazo mwanafunzi wa masomo kama MATHEMATICS, PHYSICS, BIOLOGY and CHEMIA kwa kutumia lugha yoyote ile.
Unaweza kutoa general au single subject!
Labda sasa imefika wakati mitihani ya vyuo vikuuu isahihishwe na kitu kama NECTA, wasisahihishe walimu walewale kuondoka haya malalamiko ya Law School na vyuo vingine kula vichwa kama Engineering n.k
Naomba kujua alipo huyu nguli wa kufundisha tuition kwa somo la Kiingereza,miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa akipatikana Chang'ombe Unubini pale karibu na Mchichani,naomba mwenye kujua alipo,je...
Habari wanajamvi?
Mimi niliapply UDSM na vyuo vingine tofauti katika round 3 na nikafanikiwa kuwa multiple selected. Katika chuo kikuu Dar es Salaam nilichaguliwa kozi ya BSc with Education na...
Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
Nawasalimu Kwa jina la JMT.
Asanteni kwa kazi yenu walimu wa sekondari mpo vizuri sana, hamna kona kona nadhani wenyew mmeelewa hapa.
Yale Mambo wamekamatwa kisa wameiba mtihani yatakuwa nadra...
Either wakufunzi kutafuta kujulikana ama kuundwa kwa schools nyingi kuwapa ulaji watu wa system.Haiwezekani kamati ya matokeo ikae iamue kabisa kutoa matokeo mabovu kiasi hiki.
Heshima kwenu wakuu...dogo langu aliapply chuo cha uhasibu Arusha njiro ngazi ya cheti kwenye IT...kwenye kuripoti ikaonekna chuo walisahau kuingiza jina lake wakati wanatuma majina tamiseni...
Mataifa mbalimbali duniani yamekuwa yakifanya jitihada za kuhakikisha kwamba kila Taifa linalinda na kukuza utamaduni na maadili yake kwa lengo la kudumisha amani, mshikamano, umoja na maendeleo...
Msaada wanajukwaa hili la elimu. Napenda kujua ni wapi kozi za IELTS
*zinafanyikia
*Ada
*Muda
kwa mnaojua kihusu hili naomba ufafanuzi wenu tafadhali nahitaji hili jambo nifanikiwe.
Hellow wanajamvi.
Hoping mpo okay.
Nme-note like miaka miwili ilyopta wazazi/ walezi wengi huwashauri watoto wajiunge na diploma courses after completing form four instead of joining form five...
Habari Wanajamvi..?
Nimejaribu kuangalia mfano wa swali la Law school nimeona kuwa linaeleweka sana na kama nature ya maswali ndio kama haya sioni ugumu wa wanafunzi kulaumu kufeli LST.
Nimeona...
Si kweli , Maji hayajatawala sehemu yote ya dunia hapana bali tunatakiwa tuseme kuwa maji yametawala sehemu kubwa katika uso wa dunia yetu ambapo ni sawa na asilimia 71 huku 29 ikichukuliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.