huyu ndiye nabii mchungaji josephat mungira wa kanisa efatha la mwenge matokeo ya shule yake ni
division one-o,division two-2,division 3-2,divison 1v--121 na zero--157
Habar wakuu, ni tetesi ambazo nilipata juz kutoka kwa classmate wangu Evaristo Nyondo tuliomaliza nae Pugu boyz '07 kwamba mwalimu mtaalam Wa Advanced maths amefariki dunia toka juzi,ndo natafuta...
Ikiwa walimu hawakubaliani na matokeo haya kuendelea kukaa ma offcen tafsri yake ni nini?
Je wana kubaliana na matokeo haya?
I kiwa wana mgomo baridi hasara ya wanafunzi wanao chora mazombi ni...
Ndugu zangu wana jamvi. Nina ndugu yangu ambaye ni muhanga wa matokeo ya Kidato cha nne ya mwaka huu ambayo yameundiwa tume na Mheshimiwa Pinda ili kuwapa watu ulaji. Ndugu yangu huyu amepata D...
Kama waalimu wangepewa motisha hata ya maneno,yawezekana Wanafunzi Kidato cha 4 wangefaulu. Sasahivi hakuna Mwalimu mwenye hamu ya kufundisha.Unamkorofisha Mama-halafu unasubiri chakula cha...
Naombeni munisaidie jamani,nina msichana wangu nimemchumbia sasa nataka kumuendeleza kielimu yeye alihitimu kidato cha nne mwaka 2007 matokeo yake ni div 4 ya 27.sasa sijajua nianzie wapi kutafuta...
SERIKALI NUNUA KIWANJA KIDOGO CHENYE RUTUBA KULIKO KIKUBWA KISICHO NA RUTUBA KWANI GHARAMA HUTOIWEZA.
Wajomba nami leo wacha nimwage cheche zangu kwa hili serikali imekosea ila siilaumu ijipange...
Wajomba nami leo wacha nimwage cheche zangu kwa hili serikali imekosea ila siilaumu ijipange upya tuu ndo kuangalia nini chanzo.
Ninasikitika sana lakini kwa sababu haina jinsi inabidi nikubali...
Crack d below question ..
Mr. Ryan went to the Market with his
Dog..
He rode on a horse to the Market, Yet
Walked...
The horse's name was victory and dog
was from south africa.... What is the...
Shule ya Itende High School, jijini Mbeya ina tangaza nafasi kwa AJILI ya wanaohitaji KUSOMA F.5, 2013 na WALE WANAOHITAJI KURUDIA KUSOMA ILI KURUDIA MITIHANI YAO YA KIDATO CHA NNE. Tumeanza...
UKISTAAJABU YA MUSA UTASIKIA YA KAWAMBWA!
Nasikitishwa sana tena sana na kauli za viongozi wan chi hii.Dr Kawambwa amenukuliwa akijitetea kwamba TATIZO la wanafunzi KUFELI mitihani yao ni kwa...
-- - -Mi naona sio halali kuoainisha matokeo ya mitihani baina ya shule za KATA (vijijini) na zili za mjini ambazo zimesheheni -walimu na vifaa vyakufundishia. Mfano shule "A" imekuwa ya 10 kati...
CONTINENT RANK
UNIVERSITY
COUNTRY
WORLD RANK
1
University of Cape Town
405
2
University of Pretoria
509
3
Stellenbosch University
555
4
University of the...
habari zenu wana jf, naamini kabisa hapa ni mahali salama na pa kistaarabu kuuliza jambo hili,naomba mwenye taarifa anijulishe serikali imefikia wapi kuhusu mchakato wa kuwapatia ajira walimu...
Nasema tatizo kubwa ni serikali na sio wanafunzi,walimu,walezi na wazazi tatizo kubwa sana ni serikali hii ya Ccm ambayo ndio imetukisha hapa tulipo nasema hivyo ili tuelewane nafahamu kuna watu...
Haya ni mfano tu,
1.Mangifera indika-Mango tree
2.Carica papaya- Pawpaw
3.Manihot esculenta- Cassava
4. Endelea ...........
Biologist leteni mengine maana ilikuwa kazi kuyaelewa!
Matokeo ya kidato cha nne 2012 yametoka hivi karibuni na yameleta gumzo miongoni mwa jamii ya ndani na nje ya Tanzania kutokana na namna wanafunzi walivyofeli. Achilia mbali kufeli, wanafunzi...