Habari wana jf napenda kuuliza je hii redcross inalipa na sifa za kujiunga ni zipi pia soko lake la ajira hapa Tz likoje?naomba mawazo yenu coz ulitokea mjadala huo
national examinations council of tanzaniacsee 2012 examination results
p0147 pugu secondary school centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 39 fld = 133
cno
sex
aggt
div
detailed...
national examinations council of tanzaniacsee 2012 examination results
p0110 ilboru secondary school centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 142 fld = 250
cno
sex
aggt
div
detailed...
national examinations council of tanzaniacsee 2012 examination results
p0101 azania secondary school centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 9 fld = 25
cno
sex
aggt
div
detailed...
Habari wana JF,
kwa tetesi nilizopata matokeo yatakuwa displayed tar 08/02.
============
MATOKEO RASMI YANAPATIKANA HAPA -> NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2012
bila ubishi wakuu hii ni kweli
today in our society people are blind, kila mtu anataka kuwa doctor, mhasibu, mgavi, engineer, lawyer, banker etc, tumesahau kuwa Mungu kadeposit somethings in us...
Jamani natafuta mwalimu wa kubadilishana nae toka maeneo niliyotaja wa ngazi ya shahada kwenda wilaya ya ruangwa mkoa wa Lindi. Tafadhali sana aliye tayari a inbox kwa mawasiliano zaidi. Najua...
Jamani!,m2 mwenye nia nyema na uchungu wa nchi hii,haweza kuleta mdhaa na maisha ya watanzania hata kidogo,wala kushawishika kwa chochote kile,sasa leo nawaona hawa wanaoitwa wanafunzi wa...
jamani matokeo yatakuwa hewani leo kuanzia saa moja ........ila saa kumi waandishi wa habali watakuwa pale kumsikliliza naibu wazili
ila kwa kifupi ni kwamba......nimesikia kiwango kimeongezeka...
Je, Tanzania tuna mtaala wa elimu?
Kitila Mkumbo
WIKI ya kwanza ya Bunge la 10 lililoanza Januari 29, mwaka 2013 lilitawaliwa na hoja mbili binafsi kuhusu elimu. Hoja ya kwanza ni ile...
jamakani kama mtu ni mwajiriwa je anatumia njia gani kwenda kusomea kozi tofauti na aliyonayo?.mfano mwalimu kwenda kusomea masuala ya kilimo
na unafuata utaratibu upi ili kufanikisha masoma ya...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
kwa utafiti unavyo onesha elimu ya Tanzania haiwaandai wanafunzi kukabiliana na mazingira yanayo wazunguka bali kukaa na kusubiri kuajiliwa, je kwa mwenendo kama huu tutafika kweli???
nimemaliza chuo mwaka jana na ninampango wa kujiendeleza masters mwenyewe kwa kusoma online,tafadhali naomba sana kwa watu wanaojua njia sahihi za jinsi watu hawa wanatoa elimu zao wanielekeze...