1.0. UTANGULIZI
Mfumo mzima wa elimu hapa Tanzania bado ni changamoto kubwa sana ya kufikia malengo ya kitaaaluma na maendeleo ya kujitegemea kielimu. Mfumo wa elimu ya Tanzania umejikita zaidi...
Ndugu wana JF napenda kufahamu baadhi ya Hasara na Faida zinazompta yeyote yule anayehamua kujiajiri mwenyewe na kutokupenda kuajiriwa na secta yoyote ile wakati vigezo vya kuajiriwa anavyo. Mfano...
Ndugu wanajamvi JF, wizara ya elimu imetoa maagizo ufanywe mtihani kuwatahini waanafunzi wa kidato chaa kwanza 2013 ili watakaofeli wachujwe. Pia tumeambiwa kuwa mitihani na marking schemes...
idadi kubwa ya wanafunzi kutoka vyuo vikuu mbali mbali wamekuwa wakilalamikia bodi ya mkopo kutowapelekea pesa zao mpaka sasa, vyuo mabavyo nimeona wanafunzi wake wakilalamika ni SAUT MWANZA, na...
UONGOZI WA CHUO KIKUU SAUT WAENDESHA UFISADI WA KUTISHA KWA WANAFUNZI WAKE
UTANGULIZI
Uongozi wa juu wa chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino (Main Campus Mwanza) umendesha ufisadi wa hali ya juu...
Hizi ni Rankings za mwaka 2012, It is based on academic performance.
Tembelea: URAP - University Ranking by Academic Performance
Country Ranking: Tanzania...
helo ndugu zangu, ivi sehemu nzuri ya kufanya field kwa course ya Bussines administration in Marketing Management ni wapi/ na hua wanapokea barua za field lin, samahan kwa wale wa Dar, Arusha...
SOURCE ITV
Zaidi ya watoto 7000, wilayani mbozi-mbeya wamefaulu kuingia kidato cha kwanza huku hawajui kusoma wala kuandika.
Na mwaka 20111/2012 watoto 28,000 walifaulu bila kujua kusoma wala...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Bwawa la samaki linahitaji matunzo ya mara kwa mara ili kuhakikisha linakaa katika hali inayostahili kuwawezesha samaki kuzailiana au kustawi vizuri. Bwawa lisipopewa matunzo mazuri linaweza...
ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION FEBRUARY 2013
TIMETABLE DAY & DATE
MORNING SESSION (A.M.)
AFTERNOON SESSION (P.M.)
CODE NO.
SUBJECT
TIME
CODE NO.
SUBJECT...
Kama ilivyokuwa kwa website ya(dullonet) (Netfirms | This account has been suspended) ilivyofungiwa na netfirms ndivyo ilivyo hata sasa kwa tovuti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Tanzania...
Katika elimu neno mtaala (Curriculum) linamaanisha utaratibu, mpangilio, muundo na maudhui ambayo mwanafunzi hupaswa kufuata na kukamilisha kama sehemu ya matakwa ya kupata tuzo fulani ya kielimu...
Punde hivi naangalia habari kwa ufupi (Tbc).
Ambapo Dc Mbozi mkoani Mbeya ameripoti kua Serikali imegundua (Confirm) kati ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza wilayani...
Ingawa naambiw niish kwa
kutoangalia watu lakn jaman
kwng imezidi,jaman napata
fedhea na dharau za hal y juu
kutoka familia yng mpak jamii
kwa ujumla.eti familia yng
naambiw ctakuw na msaada...
Hiv kwa wanaosoma kitivo cha TAKWIMU {statistics} huwa wanatumia miaka ningap kumaliza degree ya 1 na ni combination gan inakuwa priority? Kwa wanaosoma HGK au HGL vp?
Ninashida ya kupata shule inayoweza kumpatia nafasi ya kufanya mtihani wa form II mtu aliyewahi maliza form IV. Ninafanya hivi kwa sababu kuna mtu ninaetaka kumsaidia kielimu lakini nahitaji...
Hebu fikili ndugu yangu yangu katika kipindi hiki cha likizo ya siku chache ambayo haiwezi kukufanya mtu unae toka hata kilomita 100 nje ya barabara kuu huwezi kudi nyumbani kwa sababuni siku...