Hizi reshuffle udom zinatisha kwakweli, kuna watu wanahamishwa kila leo na wengine wapo tuu...ndio kusema wanaohamishwa sana wanaboronga au???au ndo wanaompinga huyo mbilikimo wenu tehe tehe...
Waungwana naomba kufahamishwa falsafa ya msemo huo ( ama unaofanana na hao) ambao nimekuwa nikiusikia sana lakini sifahamu chimbuko na historia yake ni nini hadi kuwa na umaarufu huo!
Thanks to tax preparation software, more of us are making fewer mistakes on our annual tax returns. But still, just one slip in entering information on your computer could end up costing you...
Je ungependa kusoma nje ya nchi? sisi GLOBAL SOURCE WATCH tutakusaidia kutimiza ndoto zako tutakuunganisha na vyuo katika nchi kama malaysia, canada, china,usa na nyinginezo wasiliana nasi...
'Royalty' inatamkwa hivi
roy·al·ty [róy əltee] [USA] au 'rȯi(-ə)l-tē (britain)
(plural roy·al·ties) noun
Maana yake ulipatia kwa ulichotaka...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Inaonekana mpaka sasa, swala la form2 kuvuka kidato cha 3 kwa wastani ni kiini macho. Serikali inatakiwa kuwa makini, elimu ya Tanzania inashuka kiwango kwa kuwa na watu ambao taaluma yao haina...
Wakuu naomba nisaidiwe jinsi ya kucalculate PAYE kwa mtumishi wa Serikali mwenye mshahara huu
Basic Salary Tsh. 521,800.00
PSPF Pension Contr. (5%of Basic Salary) Sh. 26,090.00
sina posho yoyote...
Kuna habari (nisizoziamini) nimepata kutoka kwa jamaa yangu ya kwamba, Waaziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Shukuru Kawambwa, amepeleka mtaala Bungeni leo, kama ilivyoshinikizwa na Mh...
NI NANI ATABADILISHA MAISHA YA MTANZANIA?
Miaka 50 ya uhuru mpaka sasa wanafunzi hawana madarasa,lini tutabadilika na ninani atabadilisha maisha ya mtanzania je mafisadi wanayaona haya?
Hii radio kila nisikilizapo napata kitu kipya na muhimu sana katika maisha yangu. Radio zote bongo zingekuwa kama radio Imaan hakika tungekuwa mbali sana. Nasikiliza Radio Imaan hapa mkombozi wa...