Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology (NM-AIST) inatoa sponsorship kwa wanafunzi wake wa Masters na PhD. Kuna mdau yeyote anayejua kama orodha ya wanafunzi wa mwaka huu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naombeni msaada nilichaguliwa duce nimeenda duce jina halionekani wakaniambia niende udsm nimeenda nako jina halipo nimeenda tcu mpaka leo wanasema watatoa majina kwenye mtandao sasa hata sielewi...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
vigezo na mashart kuzingatiwa,,,inabidi awe 2nd year afu anasoma B.COM ya BANKING $ FINANCIAL SERVICES,,TOFAUTI NA HAPO,,,,NO ENTRY,,USISUMBUKE KUPIGA SIMU,,,,anaefit hii offer apige simu 0756...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Stendi kuu ya mkoa Dodoma yahamishiwa nzuguni (nanenane) na ile ya daladala imesogezwa hapo stendi ya mkoa. kuna usumbufu kidogo, huenda hali hiyo itarekebishwa na wahusika. poleni wasafiri wenzangu
0 Reactions
10 Replies
3K Views
wadau nlikua naomba msaada wa mawazo kuhusu kuhama chuo! nmechaguliwa tumaini dar(law) bt mwenzenu mimi ni mtoto wa mkulima siwez kumudu tution fee ya 2.5 Miln. chuo nahtaji kwenda bt ugumu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jaman,wiki iliyopita necta wametoa ratiba mtihan mwez wa 5,lakn kuna m2 kasema tbc walitangaza kuwa kuna mabadiliko kuwa walimu wakuu wameishawishi wizara,wameamua mtihan ufanyike february.kuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni field gani zingine waweza join apart from teaching ka ulisoma B.s.c with education?
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Waliochaguliwa ruaha karbun xna.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zangu, naomba kufahamu kwa sisi ambao hatujapata mkopo kama kuna taarifa ya awamu nyingine ya majina ya mkopo... truly tunnaumia sana na kuhisi kutopata chance ya kuendelea na masomo. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
For detailed information please click VarsityConnect!:shock:
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Naomba ushauri kuhusu International schools ambazo zinaperform vizuri na pia gharama zao ni average, siyo juu sana. Na je, ni Feza tu International school nzuri ambayo ina option ya NECTA?
0 Reactions
2 Replies
40K Views
Katika pitapita yangu mtaani siku ya leo nmekutana na vijana wengi wa kidato cha nne wakizunguka huku na kule kusaka walau zilizovuja bila mafanikio, hali hii imenifanya nikumbuke miaka kadhaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama mnavyoenda kuanza mitihani yenu,muombe Mungu,kaa chini soma kwa makini maswali na kisha ujibu. Ukifanya vibaya mtihani mmoja,usikate tamaa kwa mitihani inayofuata. Acheni kufikiria mitihani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hongeri sana waziri wa elimu ya juu na watumishi wote wa bodi ya mikopo kwa kazi nzuri. Naskitika sanawa pale m2 anapo ji2ma mwingine ansinzia nakutegea Kabla ya bunge la 10...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani wale mu vp mpango wa makazi vyumba vikoje huko ss tusojua mazingira ya huko mtujuze wakubwa nimeona hosteli walizotuandikia ziko bei ya juu sana.:rockon:
0 Reactions
22 Replies
3K Views
jamani ni mimi tu au???kila nkijaza wasema mambo ya error....help please
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Inavo themekana MULUGO alikosea kutoa ile kaul ya kua 4m6 hawausik katka uu mkumbo wa kubadlika kwa mihula! So 4m6 mtian mwez uleule wa5 na cmp zngine wa shapata na ratba tayar! Nan mwngne anajua?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Alhamisi iliyopita nilienda helsb wakaniambia zoezi la kuapeal litaanza ndani ya wiki mbili zijazo na kwasasa wanatengeneza mambo vizur ndo maana ha2wez kuapeal.
0 Reactions
0 Replies
952 Views
  • Closed
Kwanza kabisa napenda kutoa shukurani za pekee kwa HESLB kuleta cheque kwa wakati unaotakiwa. Pia naipongeza serikali ya wanafunzi chini ya uongozi wa Malisa kufuatilia hili suala kwa ukaribu...
0 Reactions
117 Replies
8K Views
wale waliokosa accomodation kuna room inauzwa mabibo hostel.....mwenye hitaji apige namba 0712532341....bei maelewano
0 Reactions
1 Replies
810 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…