Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakubwa msaada hapa hivi kuchange faculty ukiwa private candidate ni kazi rahisi or bado ngumu????
0 Reactions
2 Replies
969 Views
wakuu mambo vp,wale wa mzumbe jamani pita hapa..
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mbona account yangu haifunguki?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa ambao tcu wamependa watupe coz walizoztaka wao na tumezikubali!je tufanyeje maana kwa ambao wamekataa utaratibu unaeleweka ila kwa aliye kubali cjajua nn kinaendelea,nimetuma email tcu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hongereni kwa kuchaguliwa SAUT Malimbe Campus! Karibuni ‘tulijenge jiji la Mungu‘ huo ndio motto wa saut. Pia huku wanasema ‘our culture should be no fee no school‘ 1.chuo kiko malimbe,Nyegezi ni...
3 Reactions
27 Replies
10K Views
Jamani,za asubuhi wana jf.samahani minimwanafunzi wa kidato cha sita,nlikuwa nauliza,kwa wale wanaojua qualification anazotakiwa kuwanazo mtu anaetaka kusoma chuo kozi ya Bsc in accounts...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
naomba unishauri juu ya hili nimepangiwa UDOM software engineering lakini pia niliomba diploma ya electrical eng. DIT nimepata sijajua soko la ajira kwa software engineering liko vipi naomba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wamechaguliwa faculty ambazo hawakuomba nawashauri waende kwan kwa mujibu wa majibu niliyopata kutoka kwa mtu fulani huko tcu anasema kuwa,"kwa wale ambao watataka kuomba 2nd round...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada namna ya kuama chuo!plz.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wale wote walio pata admission hebu tuambizane degree program tulizo chaguliwa na ni vyuo vipi. ili iwe rahisi kutafutana Waheshimiwa Jukwaa ni lenu
2 Reactions
78 Replies
7K Views
kwa wale mliochaguliwa sua joining instruction bado hawajaitoa kwenye website....lakini hii link ni ile ya mwaka jana sidhani kama zitakuwa na totauti sana na ya mwaka huu pitia hii itakusaidia...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Friday, 24 August 2012 23:48 Kijana akipiga mswaki eneo la shule ya Sekondari ya Ufundi Moshi iliyopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro HAINA CHOO, BAFU, WANAFUNZI WAJISAIDIA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nitakuwa mchoyo wafadhila nisipotanguliza shukurani zangu kwa wana jamvi coz mmekuwa wa2 wakwanza kunishauri japo kuna wachache walipondea sana mm kupangwa IFM bt kwa maombi yenu kwangu now...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Waungwana naomba msaada wa kujua if it is possible and how to transfer my admission from one medical college to another, say from CUHAS to KCMC. Is this possible, and if yes, what is the...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba msaada wa maelezo jinsi ya kupata joining instruction za chuo kikuu duce,maana website yao haifunguki kabisaaaa.Ahsanten!
0 Reactions
2 Replies
6K Views
hivi wanajamii wanposema mkopo umepewa asilimia mia,inamaanisha kuwa maswala yote,acomodation na kila kitu utalipiwa na serikali.JE KUNA HELA NYINGINE AMBAYO UTAPEWA MBALI HIYO YA CHUO?NAOMBA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu. Naomba mwenye namba za uhakika za Tcu anisaidie, nimeshindwa kuingia kwenye akaunt yangu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
:A S 465:jaman mbona kimya kwa wale wa kozi ya library<au hailipi?
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…